Watumishi Tanapa kupewa mafunzo ya kijeshi

MWENYEKITI Bodi ya Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) Generali Mstaafu, George Waitara amesema muda umefika kwa shirika hilo watumishi wake kwenda katika mafunzo ya kijeshi kwani kwa muundo wa sasa hauruhusu kufanya kazi ukiwa raia.

Waitara alisema hayo Agosti 22, 2023 jijini Arusha mara baada kukabidhi nyaraka za utendaji kazi akiwa Mwenyekiti wa Tanapa kwa zaidi ya miaka sita na kusema kuwa zamani watendaji na wafanyakazi wa Tanapa walikuwa na sharubu lakini baada ya kuingia katika mfumo kila mmoja anafanyakazi kwa kufuata misingi ya kijeshi.

Alisema kutokana na hali hiyo amewataka wafanyakazi wote wa Tanapa na watendaji kujiandaa kwenda katika mafunzo ya kijeshi ili wajue wajibu wao katika kutenda kazi na kujua maana halisi ya uzalendo na kuheshimu mipaka ya kazi.

Mwenyekiti huyo alisema kuwa bodi ilikuwa ikifanya kazi kwa makubaliano ya pamoja na menenjimenti ya shirika hilo na hoja zilikuwa zikijadiliwa na sio mtu, watu au bodi haikuwahi na haitawahi kuigawa menejimenti katika kipindi cha miaka yote ya uenyekiti wake.

Alisema kuwa hali hiyo itakuwa hivyo katika kipindi kijacho lengo ni kutaka kila mmoja awajibike katika nafasi yake kwa maslahi ya taifa na sio vinginevyo.

‘’Watendaji na wafanyakazi wote wa Tanapa wanapaswa kwenda katika mafunzo ya kijeshi kwani huwezi kuwa katika mfumo wa kijeshi na hujaenda jeshini hilo haliwezekani.’’alisema Waitara.

Mwenyekiti wa Bodi ya TTB, Balozi, Dk Ramadhani Dau pamoja na kumshukuru Rais samia kwa kumuamini na kumteua kushika wadhifa huo aliwataka wafanyakazi na watendaji wa TTB kuhakikisha wanajituma na kufanyakazi kwa maslahi ya nchi ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanatangaza vivutio vya utalii nje ya nchi ili malengo ya serikali yanafikiwa kwa asilimia 100.

Balozi Dau alisema wakati umefika wa TTB kujikita katika kutangaza utalii katika Bara la Asia kwa kuwa ni Bara lenye watu wengi duniani na kusema kuwa kama hilo likifanikiwa huenda idadi ya watalii milioni 5 hadi kufikia mwaka 2025 ikafikiwa.

Alitolea mfano nchi ya Singapore kuwa mwaka 2018 ilifanikiwa kuingiza mapato ya Dola bilioni 21 kwa kuingiza watalii katika nchi kuwa ni ndogo kuliko Zanzibar na kwa nini Tanzania inashindwa kufikia malengo wakati ina vivutio vingi kuliko Singapore.

Balozi Dau alisema Mapato hayo kwa hapa Tanzania ni Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii na chenji inabaki hivyo wakati umefika wa TTB kujikita katika Bara la Asia kutangaza Utalii.

Alisema analijua vizuri Bara la Asia kwa kuwa ameishi huko kwa zaidi ya miaka saba hivyo ana amini kuwa upo uwezekano wa watalii kuongezaka na nchi kuingiza mapato zaidi iwapo kutakuwa na uwajibikaji wa pamoja.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
9 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
SarannaShyla
SarannaShyla
1 month ago

Google paid 99 dollars an hour on the internet. i56 Everything I did was basic Οnline work from comfort at home for 5-7 hours per day that I got from this office I found over the web and they paid me 100 dollars each hour. For more details
visit this article————>> http://www.SmartCash1.com

Chukua kifo hichooo
Chukua kifo hichooo
1 month ago

Mandonga mtu kazi vs CHINA Kung Fu VS TAARIFA ZA WAMEFANYAJE MAU…AJI

Mapinduzi.JPG
Chukua kifo hichooo
Chukua kifo hichooo
1 month ago

Mandonga mtu kazi vs CHINA Kung Fu VS TAARIFA ZA WAMEFANYAJE MAU…AJI… MUU.. HAJI ZIMEBAKI SIKU NGAPI ZA KUISHI???

MAPINDUZI.JPG
Gmour Hal
Gmour Hal
1 month ago

Waganga wa kienyeji TZ

Je wanatibu kweli au wanacheza kamari na maisha ya watu?

Maelezo ya picha,
Watu wengi nchini Tanzania – na kote barani Afrika, hutafuta ushauri wa waganga wa kienyeji wanaotibu maradhi mbali mbali na kupiga kamari.Sheria za serikali na madawa ya kisasa, huenda zimebadilika , lakini waganga wa kienyeji wangalipo tena kwa sana. Mpiga picha Sasja van Vechgel alikutana na baadhi yao. Mganga huyu anaendesha kazi yake katika ‘Kitala’, kijumba kidogo anachotumia kuwapa wagonjwa dawa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya watu kuonelea bora kutibiwa na daktari wa kienyeji kuliko daktari wa kawaida kwa kuwa na umani nao zaidi na labda kutokana na madawa ya kisasa kukosa kufanya kazi.

Maelezo ya picha,
Wanawake na wanaume wanaweza kuwa waponyaji, inategemea tu umri. Wale wanaoheshimiwa zaidi ni wale ambao jamaa wao mmoja amewahi kuwa mganga. Mwanamume huyu mwenye umri wa miaka 40 anasema yeye anawatibu wanaopooza. Yeye ni kama mchuuzi akitembeza dawa zake nyumba hadi nyumba. Wakati mwingine hutumia chumba cha hospitalini kuwatibu wagonjwa wake, ingawa hakuna thibitisho la kisayansi kuwa dawa zake zinaponya

Maelezo ya picha,
Matibabu hujumuisha mchanganyiko wa matambiko na dawa za kienyeji.Waganga wanasema kuwa wanaweza kufanya kazi yao kutokana na mwongozo wa wazee wa jadi ikiwa wamepagawa na pepo . Wao hutumia mboko wakitoa matamshi yasiyoeleweka ”Chupa hii ndio kifaa muhimu kwangu,” anasema mganga huyu mwenye umri wa miaka 88.

Maelezo ya picha,
Mgonjwa huyu ametibiwa kwa ugonjwa wa mifupa.Waganga hutumia majani au migomba ya miti inayotolewa kwa miti yenye uwezo wa kutibu. Wao huikoroga kwa pamoja na kisha kuisugua mgongoni au sehemu anayoumwa mgonjwa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga huuza vifaa mbali mbali kama pembe za wanyama. Matibabu ya waganga hawa inaweza kuwa kati ya dola 5 au nane na wakati mwingine hata miamoja kulingana na ugonjwa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga Kusini mwa Tanzania husema kuwa dawa huwa na nguvu zaidi ikiwa na sehemu ya mwili wa mtu mfano wale walio na ulemavu wa ngozi au Albino

Maelezo ya picha,
Baadhi ya wagonjwa ambao huja kwangu tayari wamekwenda hospitalini bila mafanikio. Sindano na madaya hayajaweza kuwatibu. Mganga huyu anasema kuwa ikiwa ataweza kumtibu mgonjwa vyema, habari itawafikia wagonjwa wengine. yeye hana mabango ya kutangaza kazi yake.

Maelezo ya picha,
Miongoni mwa waganga kuna misimamo tofauti kuhusu maradhi ya ukimwi. Sio waganga wote wanasema wana uwezo wa kutibu HIV, lakini mganga huyu ni mmoja wa wale wanaotibu ugonjwa huo. Anasema kuna wale wanaowashauri wagonjwa kwenda hospitalini kwa matibabu.

…….

Capture1.JPG
Gmour Hal
Gmour Hal
1 month ago

Waganga wa kienyeji TZ

Je wanatibu kweli au wanacheza kamari na maisha ya watu?

Maelezo ya picha,
Watu wengi nchini Tanzania – na kote barani Afrika, hutafuta ushauri wa waganga wa kienyeji wanaotibu maradhi mbali mbali na kupiga kamari.Sheria za serikali na madawa ya kisasa, huenda zimebadilika , lakini waganga wa kienyeji wangalipo tena kwa sana. Mpiga picha Sasja van Vechgel alikutana na baadhi yao. Mganga huyu anaendesha kazi yake katika ‘Kitala’, kijumba kidogo anachotumia kuwapa wagonjwa dawa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya watu kuonelea bora kutibiwa na daktari wa kienyeji kuliko daktari wa kawaida kwa kuwa na umani nao zaidi na labda kutokana na madawa ya kisasa kukosa kufanya kazi.

Maelezo ya picha,
Wanawake na wanaume wanaweza kuwa waponyaji, inategemea tu umri. Wale wanaoheshimiwa zaidi ni wale ambao jamaa wao mmoja amewahi kuwa mganga. Mwanamume huyu mwenye umri wa miaka 40 anasema yeye anawatibu wanaopooza. Yeye ni kama mchuuzi akitembeza dawa zake nyumba hadi nyumba. Wakati mwingine hutumia chumba cha hospitalini kuwatibu wagonjwa wake, ingawa hakuna thibitisho la kisayansi kuwa dawa zake zinaponya

Maelezo ya picha,
Matibabu hujumuisha mchanganyiko wa matambiko na dawa za kienyeji.Waganga wanasema kuwa wanaweza kufanya kazi yao kutokana na mwongozo wa wazee wa jadi ikiwa wamepagawa na pepo . Wao hutumia mboko wakitoa matamshi yasiyoeleweka ”Chupa hii ndio kifaa muhimu kwangu,” anasema mganga huyu mwenye umri wa miaka 88.

Maelezo ya picha,
Mgonjwa huyu ametibiwa kwa ugonjwa wa mifupa.Waganga hutumia majani au migomba ya miti inayotolewa kwa miti yenye uwezo wa kutibu. Wao huikoroga kwa pamoja na kisha kuisugua mgongoni au sehemu anayoumwa mgonjwa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga huuza vifaa mbali mbali kama pembe za wanyama. Matibabu ya waganga hawa inaweza kuwa kati ya dola 5 au nane na wakati mwingine hata miamoja kulingana na ugonjwa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga Kusini mwa Tanzania husema kuwa dawa huwa na nguvu zaidi ikiwa na sehemu ya mwili wa mtu mfano wale walio na ulemavu wa ngozi au Albino

Maelezo ya picha,
Baadhi ya wagonjwa ambao huja kwangu tayari wamekwenda hospitalini bila mafanikio. Sindano na madaya hayajaweza kuwatibu. Mganga huyu anasema kuwa ikiwa ataweza kumtibu mgonjwa vyema, habari itawafikia wagonjwa wengine. yeye hana mabango ya kutangaza kazi yake.

Maelezo ya picha,
Miongoni mwa waganga kuna misimamo tofauti kuhusu maradhi ya ukimwi. Sio waganga wote wanasema wana uwezo wa kutibu HIV, lakini mganga huyu ni mmoja wa wale wanaotibu ugonjwa huo. Anasema kuna wale wanaowashauri wagonjwa kwenda hospitalini kwa matibabu.

………

Capture.JPG
Chukua kifo hichooo
Chukua kifo hichooo
1 month ago

Waganga wa kienyeji TZ

Je wanatibu kweli au wanacheza kamari na maisha ya watu?

Maelezo ya picha,
Watu wengi nchini Tanzania – na kote barani Afrika, hutafuta ushauri wa waganga wa kienyeji wanaotibu maradhi mbali mbali na kupiga kamari.Sheria za serikali na madawa ya kisasa, huenda zimebadilika , lakini waganga wa kienyeji wangalipo tena kwa sana. Mpiga picha Sasja van Vechgel alikutana na baadhi yao. Mganga huyu anaendesha kazi yake katika ‘Kitala’, kijumba kidogo anachotumia kuwapa wagonjwa dawa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya watu kuonelea bora kutibiwa na daktari wa kienyeji kuliko daktari wa kawaida kwa kuwa na umani nao zaidi na labda kutokana na madawa ya kisasa kukosa kufanya kazi.

Maelezo ya picha,
Wanawake na wanaume wanaweza kuwa waponyaji, inategemea tu umri. Wale wanaoheshimiwa zaidi ni wale ambao jamaa wao mmoja amewahi kuwa mganga. Mwanamume huyu mwenye umri wa miaka 40 anasema yeye anawatibu wanaopooza. Yeye ni kama mchuuzi akitembeza dawa zake nyumba hadi nyumba. Wakati mwingine hutumia chumba cha hospitalini kuwatibu wagonjwa wake, ingawa hakuna thibitisho la kisayansi kuwa dawa zake zinaponya

Maelezo ya picha,
Matibabu hujumuisha mchanganyiko wa matambiko na dawa za kienyeji.Waganga wanasema kuwa wanaweza kufanya kazi yao kutokana na mwongozo wa wazee wa jadi ikiwa wamepagawa na pepo . Wao hutumia mboko wakitoa matamshi yasiyoeleweka ”Chupa hii ndio kifaa muhimu kwangu,” anasema mganga huyu mwenye umri wa miaka 88.

Maelezo ya picha,
Mgonjwa huyu ametibiwa kwa ugonjwa wa mifupa.Waganga hutumia majani au migomba ya miti inayotolewa kwa miti yenye uwezo wa kutibu. Wao huikoroga kwa pamoja na kisha kuisugua mgongoni au sehemu anayoumwa mgonjwa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga huuza vifaa mbali mbali kama pembe za wanyama. Matibabu ya waganga hawa inaweza kuwa kati ya dola 5 au nane na wakati mwingine hata miamoja kulingana na ugonjwa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga Kusini mwa Tanzania husema kuwa dawa huwa na nguvu zaidi ikiwa na sehemu ya mwili wa mtu mfano wale walio na ulemavu wa ngozi au Albino

Maelezo ya picha,
Baadhi ya wagonjwa ambao huja kwangu tayari wamekwenda hospitalini bila mafanikio. Sindano na madaya hayajaweza kuwatibu. Mganga huyu anasema kuwa ikiwa ataweza kumtibu mgonjwa vyema, habari itawafikia wagonjwa wengine. yeye hana mabango ya kutangaza kazi yake.

Maelezo ya picha,
Miongoni mwa waganga kuna misimamo tofauti kuhusu maradhi ya ukimwi. Sio waganga wote wanasema wana uwezo wa kutibu HIV, lakini mganga huyu ni mmoja wa wale wanaotibu ugonjwa huo. Anasema kuna wale wanaowashauri wagonjwa kwenda hospitalini kwa matibabu.

MAPINDUZI.JPG
Chukua kifo hichooo
Chukua kifo hichooo
1 month ago

Waganga wa kienyeji TZ

Je wanatibu kweli au wanacheza kamari na maisha ya watu?

Maelezo ya picha,
Watu wengi nchini Tanzania – na kote barani Afrika, hutafuta ushauri wa waganga wa kienyeji wanaotibu maradhi mbali mbali na kupiga kamari.Sheria za serikali na madawa ya kisasa, huenda zimebadilika , lakini waganga wa kienyeji wangalipo tena kwa sana. Mpiga picha Sasja van Vechgel alikutana na baadhi yao. Mganga huyu anaendesha kazi yake katika ‘Kitala’, kijumba kidogo anachotumia kuwapa wagonjwa dawa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya watu kuonelea bora kutibiwa na daktari wa kienyeji kuliko daktari wa kawaida kwa kuwa na umani nao zaidi na labda kutokana na madawa ya kisasa kukosa kufanya kazi.

Maelezo ya picha,
Wanawake na wanaume wanaweza kuwa waponyaji, inategemea tu umri. Wale wanaoheshimiwa zaidi ni wale ambao jamaa wao mmoja amewahi kuwa mganga. Mwanamume huyu mwenye umri wa miaka 40 anasema yeye anawatibu wanaopooza. Yeye ni kama mchuuzi akitembeza dawa zake nyumba hadi nyumba. Wakati mwingine hutumia chumba cha hospitalini kuwatibu wagonjwa wake, ingawa hakuna thibitisho la kisayansi kuwa dawa zake zinaponya

Maelezo ya picha,
Matibabu hujumuisha mchanganyiko wa matambiko na dawa za kienyeji.Waganga wanasema kuwa wanaweza kufanya kazi yao kutokana na mwongozo wa wazee wa jadi ikiwa wamepagawa na pepo . Wao hutumia mboko wakitoa matamshi yasiyoeleweka ”Chupa hii ndio kifaa muhimu kwangu,” anasema mganga huyu mwenye umri wa miaka 88.

Maelezo ya picha,
Mgonjwa huyu ametibiwa kwa ugonjwa wa mifupa.Waganga hutumia majani au migomba ya miti inayotolewa kwa miti yenye uwezo wa kutibu. Wao huikoroga kwa pamoja na kisha kuisugua mgongoni au sehemu anayoumwa mgonjwa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga huuza vifaa mbali mbali kama pembe za wanyama. Matibabu ya waganga hawa inaweza kuwa kati ya dola 5 au nane na wakati mwingine hata miamoja kulingana na ugonjwa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga Kusini mwa Tanzania husema kuwa dawa huwa na nguvu zaidi ikiwa na sehemu ya mwili wa mtu mfano wale walio na ulemavu wa ngozi au Albino

Maelezo ya picha,
Baadhi ya wagonjwa ambao huja kwangu tayari wamekwenda hospitalini bila mafanikio. Sindano na madaya hayajaweza kuwatibu. Mganga huyu anasema kuwa ikiwa ataweza kumtibu mgonjwa vyema, habari itawafikia wagonjwa wengine. yeye hana mabango ya kutangaza kazi yake.

Maelezo ya picha,
Miongoni mwa waganga kuna misimamo tofauti kuhusu maradhi ya ukimwi. Sio waganga wote wanasema wana uwezo wa kutibu HIV, lakini mganga huyu ni mmoja wa wale wanaotibu ugonjwa huo. Anasema kuna wale wanaowashauri wagonjwa kwenda hospitalini kwa matibabu…..

MAPINDUZI3.JPG
Chukua kifo hichooo
Chukua kifo hichooo
1 month ago

Waganga wa kienyeji TZ

Je wanatibu kweli au wanacheza kamari na maisha ya watu?

Maelezo ya picha,
Watu wengi nchini Tanzania – na kote barani Afrika, hutafuta ushauri wa waganga wa kienyeji wanaotibu maradhi mbali mbali na kupiga kamari.Sheria za serikali na madawa ya kisasa, huenda zimebadilika , lakini waganga wa kienyeji wangalipo tena kwa sana. Mpiga picha Sasja van Vechgel alikutana na baadhi yao. Mganga huyu anaendesha kazi yake katika ‘Kitala’, kijumba kidogo anachotumia kuwapa wagonjwa dawa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya watu kuonelea bora kutibiwa na daktari wa kienyeji kuliko daktari wa kawaida kwa kuwa na umani nao zaidi na labda kutokana na madawa ya kisasa kukosa kufanya kazi.

Maelezo ya picha,
Wanawake na wanaume wanaweza kuwa waponyaji, inategemea tu umri. Wale wanaoheshimiwa zaidi ni wale ambao jamaa wao mmoja amewahi kuwa mganga. Mwanamume huyu mwenye umri wa miaka 40 anasema yeye anawatibu wanaopooza. Yeye ni kama mchuuzi akitembeza dawa zake nyumba hadi nyumba. Wakati mwingine hutumia chumba cha hospitalini kuwatibu wagonjwa wake, ingawa hakuna thibitisho la kisayansi kuwa dawa zake zinaponya

Maelezo ya picha,
Matibabu hujumuisha mchanganyiko wa matambiko na dawa za kienyeji.Waganga wanasema kuwa wanaweza kufanya kazi yao kutokana na mwongozo wa wazee wa jadi ikiwa wamepagawa na pepo . Wao hutumia mboko wakitoa matamshi yasiyoeleweka ”Chupa hii ndio kifaa muhimu kwangu,” anasema mganga huyu mwenye umri wa miaka 88.

Maelezo ya picha,
Mgonjwa huyu ametibiwa kwa ugonjwa wa mifupa.Waganga hutumia majani au migomba ya miti inayotolewa kwa miti yenye uwezo wa kutibu. Wao huikoroga kwa pamoja na kisha kuisugua mgongoni au sehemu anayoumwa mgonjwa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga huuza vifaa mbali mbali kama pembe za wanyama. Matibabu ya waganga hawa inaweza kuwa kati ya dola 5 au nane na wakati mwingine hata miamoja kulingana na ugonjwa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga Kusini mwa Tanzania husema kuwa dawa huwa na nguvu zaidi ikiwa na sehemu ya mwili wa mtu mfano wale walio na ulemavu wa ngozi au Albino

Maelezo ya picha,
Baadhi ya wagonjwa ambao huja kwangu tayari wamekwenda hospitalini bila mafanikio. Sindano na madaya hayajaweza kuwatibu. Mganga huyu anasema kuwa ikiwa ataweza kumtibu mgonjwa vyema, habari itawafikia wagonjwa wengine. yeye hana mabango ya kutangaza kazi yake.

Maelezo ya picha,
Miongoni mwa waganga kuna misimamo tofauti kuhusu maradhi ya ukimwi. Sio waganga wote wanasema wana uwezo wa kutibu HIV, lakini mganga huyu ni mmoja wa wale wanaotibu ugonjwa huo. Anasema kuna wale wanaowashauri wagonjwa kwenda hospitalini kwa matibabu………………

MAPINDUZII.JPG
hospitari
hospitari
1 month ago

Waganga wa kienyeji TZ

Je wanatibu kweli au wanacheza kamari na maisha ya watu?

Maelezo ya picha,
Watu wengi nchini Tanzania – na kote barani Afrika, hutafuta ushauri wa waganga wa kienyeji wanaotibu maradhi mbali mbali na kupiga kamari.Sheria za serikali na madawa ya kisasa, huenda zimebadilika , lakini waganga wa kienyeji wangalipo tena kwa sana. Mpiga picha Sasja van Vechgel alikutana na baadhi yao. Mganga huyu anaendesha kazi yake katika ‘Kitala’, kijumba kidogo anachotumia kuwapa wagonjwa dawa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya watu kuonelea bora kutibiwa na daktari wa kienyeji kuliko daktari wa kawaida kwa kuwa na umani nao zaidi na labda kutokana na madawa ya kisasa kukosa kufanya kazi.

Maelezo ya picha,
Wanawake na wanaume wanaweza kuwa waponyaji, inategemea tu umri. Wale wanaoheshimiwa zaidi ni wale ambao jamaa wao mmoja amewahi kuwa mganga. Mwanamume huyu mwenye umri wa miaka 40 anasema yeye anawatibu wanaopooza. Yeye ni kama mchuuzi akitembeza dawa zake nyumba hadi nyumba. Wakati mwingine hutumia chumba cha hospitalini kuwatibu wagonjwa wake, ingawa hakuna thibitisho la kisayansi kuwa dawa zake zinaponya

Maelezo ya picha,
Matibabu hujumuisha mchanganyiko wa matambiko na dawa za kienyeji.Waganga wanasema kuwa wanaweza kufanya kazi yao kutokana na mwongozo wa wazee wa jadi ikiwa wamepagawa na pepo . Wao hutumia mboko wakitoa matamshi yasiyoeleweka ”Chupa hii ndio kifaa muhimu kwangu,” anasema mganga huyu mwenye umri wa miaka 88.

Maelezo ya picha,
Mgonjwa huyu ametibiwa kwa ugonjwa wa mifupa.Waganga hutumia majani au migomba ya miti inayotolewa kwa miti yenye uwezo wa kutibu. Wao huikoroga kwa pamoja na kisha kuisugua mgongoni au sehemu anayoumwa mgonjwa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga huuza vifaa mbali mbali kama pembe za wanyama. Matibabu ya waganga hawa inaweza kuwa kati ya dola 5 au nane na wakati mwingine hata miamoja kulingana na ugonjwa

Maelezo ya picha,
Baadhi ya waganga Kusini mwa Tanzania husema kuwa dawa huwa na nguvu zaidi ikiwa na sehemu ya mwili wa mtu mfano wale walio na ulemavu wa ngozi au Albino

Maelezo ya picha,
Baadhi ya wagonjwa ambao huja kwangu tayari wamekwenda hospitalini bila mafanikio. Sindano na madaya hayajaweza kuwatibu. Mganga huyu anasema kuwa ikiwa ataweza kumtibu mgonjwa vyema, habari itawafikia wagonjwa wengine. yeye hana mabango ya kutangaza kazi yake.

Maelezo ya picha,
Miongoni mwa waganga kuna misimamo tofauti kuhusu maradhi ya ukimwi. Sio waganga wote wanasema wana uwezo wa kutibu HIV, lakini mganga huyu ni mmoja wa wale wanaotibu ugonjwa huo. Anasema kuna wale wanaowashauri wagonjwa kwenda hospitalini kwa matibabu.

mapene.JPG
Back to top button
9
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x