Wawekezaji waitwa Katavi

WAWEKEZAJI nchini wameombwa kuendelea kuwekeza katika Wilaya ya Tanganyika na Mkoa wa Katavi kwa ujumla kwa kuwa serikali inaendelea na mchakato wa kuhakikisha miundombinu rafiki inapatikana, ili kurahisisha mzunguko wa kiuchumi.

Hayo yamesemwa na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Katavi , Martha Mariki wakati akiwa katika ziara yake ya kutembelea kata za mkoa wa Katavi alipofika katika Kata ya Bulamata na kutembelea kiwanda kidogo cha kuchakata mafuta ya alizeti.

“Tumieni  fursa hii kuwakaribisha wawekezaji katika wilaya ya Tanganyika na mkoa wetu wa Katavi, mwekezaji huyu ameona inafaa kuanzisha kiwanda hiki kidogo na kutoa fursa ya ajira kwa vijana,” amesema Martha.

Amesema serikali ipo katika mchakato wa kuhakikisha umeme unafika katika Kata hiyo, ili kurahisisha mzunguko wa kiuchumi unaotegemea nishati ya umeme.

“Tunaona nguzo za TANESCO zinasimikwa hapa muda si mrefu umeme utawashwa kwenye kata hii na kurahisisha kazi za kiwanda hiki,” amesema.

Katika ziara hiyo Mbunge huyo ametoa Sh 500,000 kwa Jumuiya ya Wanawake (UWT) Kata ya Bulamata , ili kuwainua kiuchumi.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Kim
Kim
2 months ago

Work for 2-3 hours in your spare time and get paid $1000 on your bank account every Make everyone ( £26,000 __ £38,000 ) A Month Online Making nb money online more than £20k just by doing simple work With No Prior Experience Or Skills Required. Be Your Own Boss And for more info visit any tab this site… 
. . . .
Open this link. . . . . . . . .>>>  http://www.Richcash1.com

Last edited 2 months ago by Kim
LindaWilson
LindaWilson
Reply to  Kim
2 months ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ https://onlinesite76.blogspot.com

Last edited 2 months ago by LindaWilson
neknoyirze
neknoyirze
2 months ago

Working part-time, I bring home almost $13,000 per month. I was keen to find out after hearing several others describe how much money they were able to make online. Well, it all came to pass and completely altered my ba-07 life. Now, everyone needs to try this work by using this website.
.
.
Detail Are Here——————————————————>>> http://www.join.hiring9.com

Last edited 2 months ago by neknoyirze
Julia
Julia
2 months ago

Working part-time and making an extra $15,000 or more online is a simple and quick method to gain money. I made $17,000 in the previous month by working in my spare time, and I am really satisfied now as a result of this job.
.
.
Detail Here———————————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x