Wawekezaji wazawa waahidiwa mazingira mazuri

KAMATI ya kudumu ya  Ustawi wa Maendeleo ya Jamii pamoja na Taasisi ya OSHA wamefanya ziara kwenye kiwanda cha Azam kinachozalisha unga na kiwanda cha Lodhia cha kuzalisha nondo kwa lengo la kuangalia utekelezaji wa sheria ya usalama na afya mahali pa kazi.

Ziara hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam Agosti 26, 2023 ikiwa na lengo la kuunga juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira wezeshi  kwa ustawi wa sekta binafsi kwa ajili ya kuwezesha biashara nchini.

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Ustawi wa Maendeleo ya Jamii, Fatuma Hassan amesema wawekezaji wa sekta binafsi wakipata fursa wataongezeka zaidi Afrika na nje ya Afrika na kushauri serikali kuweka mazingira bora zaidi kwa wawekezaji wazawa, ili kuongeza ajira nchini.

Kwa upande wake Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu Prof. Jamal Katundu amesema watahakikisha wawekezaji wanawekewa mazingira mazuri ya kufanya kazi ikiwa na kuwahisha kupewa mapema.

Naye Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Prof. Joyce Ndalichako ametoa pongezi kwa mfanyabiashara Said Bakhresa kwa kutoa ajira kwa kiwanda hicho kwa watu 8,000 na wa wajasiriamali 20,000 kwa namna mbalimbali.

Naye Mtendaji Mkuu wa OSHA, Khadija Mwenda anasema mkono wa OSHA umehusika kuhakikisha viwanda vya ndani vinakua, kwa vile wanawakagua, na kushauri namna ya kulinda wafanyakazi na kutoa wito kwa wadau kuendelea kushirikiana nao.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
4 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
AnglinaKevin
AnglinaKevin
28 days ago

Making extra salary every month from house more than $15,000 just by doing simple copy and paste like online job. I have received $18,000 from this easy home job. Everybody can now makes extra cash online easily.
.
.
Detail Here———————————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

AnglinaKevin
AnglinaKevin
28 days ago

Leo hii, huu mchakato wa Katiba tuliosifiwa nao hakuna chochote kinachofanyika, tunaona watu wameshaanza maneno maneno kuhusu ukomo wa urais(ukomo wa MAFUNDI KUJENGA NYUMBA BILA MPANGILIO MAALUMU), na pia kwenye Mahakama ya Afrika tayari tumeshajitoa,

MWANAMKE NI MALI YA FUNDI = TUSUMBUE JAMAA HAELEWI FAMILIA YANGU INAKUUNGA MKONO

MAPINDUZI.JPG
AnglinaKevin
AnglinaKevin
28 days ago

KAMATI YA LAAC YARIDHISHWA MRADI WA KITEGA UCHUMI cha WAGANGA WA KIENYEJI WA BIL. 67 JIJI LA DODOMA

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeridhishwa na ujenzi wa Jengo la Kitega Uchumi CHINANGALI kwa shilingi bilioni 67 lililojengwa kwa lengo la kuongeza mapato ya ndani ya WAGANGA WA KIENYEJI TANZANIA.

MapinduziI.JPG
watch pictures
watch pictures
28 days ago

WAHI FURSA YA MASHINDANO SASA…. Kombe la Mipango

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

CHOKORAAAAAA

Vs

MAKAO YA TAIFA YA MALEZI NA MAKUZI YA WATOTO YALIYOJENGWA KATIKA KATA YA KIKOMBO, JIJINI DODOMA

MAPINDUZI.JPG
Back to top button
4
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x