Wawili wapigwa risasi, mechi ya Sweden, Ubelgiji ikisimamishwa

MCHEZO wa kufuzu michuano ya Euro, kati ya Ubelgiji na Sweden umesimamishwa huku wachezaji wakikataa kujitokeza kipindi cha pili.
Haya yanajiri baada ya mashabiki wawili wa soka wa Sweden kuuawa kwa kupigwa risasi mjini Brussels kabla ya mchezo huo usiku wa leo.
Matokeo yalikuwa 1-1 wakati wa mapumziko hata hivyo uamuzi ulipochukuliwa wa kusimamisha mchezo na mashabiki waliambiwa kubaki kwenye Uwanja wa King Baudouin “hadi usalama utakapowaruhusu kuondoka.”
Tangazo katika uwanja huo lilisema: “Wachezaji waliamua kutotaka kuendelea na mchezo, kwa sababu ya kile kilichotokea mapema leo huko Brussels.”
Kauli hiyo ilitolewa kwa Kiingereza, Kifaransa, Kiholanzi na Kiswidi na umati ulipiga makofi baada ya tangazo hilo.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
I make up to $90 an hour working from my home. My story is that I quit working at Walmart to work online and with a little effort I easily bring in around $40h to $86h… Someone was good to me by sharing this link with me, so now i am hoping i could help someone else out there by sharing this link…
Try it, you won’t regret it!….. http://Www.Easywork7.com
Google pays $300 on a regular basis. My latest salary check was $8600 for working 10 hours a week on the internet. My younger sibling has been averaging $19k for the last few months, and he constantly works approximately 24 hours. I’m not sure how simple it was once I checked it out.
This is my main concern………. http://Www.Smartcash1.com