Waziri Mkuu ampongeza Dk Tulia urais IPU

WAZIIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameungana na Rais Samia kumpongeza Spika wa Bunge, Dk Tulua Ackson kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa 31 wa Umoja wa Mabunge ya Dunia-IPU.

PM Majaliwa ametoa pongezi hizo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X.

“Ushindi huu ni kielelezo cha imani kubwa ambayo Mataifa mengi Duniani wanayo juu ya nchi yetu na wewe mwenyewe,”

“Ninakutakia kheri katika jukumu hili linalounganisha Mataifa yetu pamoja ili kujadili mwelekeo chanya wa Dunia.” ameandika Waziri Mkuu Majaliwa.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Evaurner
Evaurner
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by Evaurner
Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x