Waziri Mkuu awasili Tanga kwa ziara

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewasili mkoani Tanga kwa ziara ya siku moja ambapo atapokea taarifa ya mradi wa upanuzi wa Bandari ya Tanga na kutembelea kiwanda cha kuzalisha saruji cha Maweni

Vile vile atafanya kikao na viongozi wa serikali, chama na viongozi wa taasisi za dini ya Kiislamu ya Ibadhi.

Waziri Mkuu amepokelewa na mkuu wa Mkoa wa Tanga Waziri Kindamba, pamoja viongozi wa chama na serikali

Advertisement

1 comments

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *