Waziri Mkuu awasili Tanga kwa ziara

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewasili mkoani Tanga kwa ziara ya siku moja ambapo atapokea taarifa ya mradi wa upanuzi wa Bandari ya Tanga na kutembelea kiwanda cha kuzalisha saruji cha Maweni
Vile vile atafanya kikao na viongozi wa serikali, chama na viongozi wa taasisi za dini ya Kiislamu ya Ibadhi.
Waziri Mkuu amepokelewa na mkuu wa Mkoa wa Tanga Waziri Kindamba, pamoja viongozi wa chama na serikali
I make $100h while I’m traveling the world. Last week I worked by my laptop in Rome, Monti Carlo and finally Paris…This week I’m back in the USA. All I do are easy tasks from this one cool site. check it out,
AND GOOD LUCK.:)
.
.
HERE====)>>>>>> http://www.pay.hiring9.com