Waziri wa ulinzi China aondolewa

WAZIRI wa Ulinzi wa China, Li Shangfu amefutwa kazi leo ikiwa ni miezi miwili baada ya kutoonekana hadharani bila maelezo yoyote rasmi.
Shangfu pia ameondolewa kwenye nyadhifa zake kama mjumbe wa Tume Kuu ya Kijeshi chombo chenye nguvu kinachoongozwa na Rais wa China Xi Jinping.
Uamuzi huo uliidhinishwa na Kamati ya Kudumu ya Bunge la nchi hiyo, Bunge la Wananchi, kulingana na taarifa ya Shirika la Habari la CNN nchini China.
Li, ambaye aliteuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi mwezi Machi, hajaonekana hadharani tangu mwishoni mwa mwezi Agosti, na hivyo kuchochea uvumi mkubwa kuhusu hatma yake.
Kutoweka kwa jenerali huyo kunafuatia mfululizo wa misukosuko isiyoelezeka ya wafanyikazi ambayo imekumba safu ya juu ya nchi, ikiwa ni pamoja na kuondolewa kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani Qin Gang mnamo Julai.
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com
I have just received my 3rd paycheck which said that $16,285 that i have made just in one month by working online over my laptop. This job is amazing and its regular earnings are much better than my regular office job. Join this job now and start making money online easily.
.
.
Detail Here———————————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com
I’m currently generating over $35,100 a month thanks to one small internet job, therefore I really like your work! I am aware that with a beginning capital of $28,800, you are presently making a sizeable quantity of money online.
.
.
Just open the link——->> http://Www.Smartcareer1.com