Wema: Nimetimiza miezi 9 sijagusa pombe

DAR ES SALAAM: Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu amesema miongoni mwa vitu alivyofanikiwa mwaka huu ni kuacha pombe, kwani tangu Januari hajaigusa.

Akizungumza kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa, Wema amesema mwaka huu ameona afanye sherehe kwani ni miaka mingi hajafurahia siku yake ya kuzaliwa.

“Sijasherekea siku yangu ya kuzaliwa siku nyingi, miaka kama 5, nafanyaga kawaida lakini leo ni tofauti nasherekea siku yangu ya kuzaliwa,mafanikio yangu kikubwa kuacha pombe, kwani ni vitu vingi nilivyopitia hadi nilipo sasa.

“Hakuna kitu kibaya kilichonikuta, nimeamua mwenyewe kwa kuwa tangu nianze kunywa pombe ni miaka mingi na haijanisaidia kitu chochote, ndo mana nimeacha natimiza miezi 9 tangu Januari nimeacha hadi leo, “amesema Wema na kuongeza kuwa mpenzi wake Whozu pia alichangia kumshawishi kuacha kwani alikuwa hapendi akimuona anakunywa.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
money
money
2 months ago

Mashindano ya nani kuhinda kwenye neno “ABROAD“ NCHINI TANZANIA!?

MJERUMANI

MHINDI

MTANZANIA

MKENYA

MNIGERIA

MHISPANIA

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

NANI AINGIZE NDEGE ZA KWENDA KUMSALIMIA BABU NA BIBI, KWA ALIYESHINDA KULELEWA NA BIBI TU!?

Capture.JPG
money
money
2 months ago

Mashindano ya nani kuhinda kwenye neno “ABROAD“ NCHINI TANZANIA!?

MJERUMANI

MHINDI

MTANZANIA

MKENYA

MNIGERIA

MHISPANIA

file:///C:/Users/User/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image002.jpg

NANI AINGIZE NDEGE ZA KWENDA KUMSALIMIA BABU NA BIBI, KWA ALIYESHINDA KULELEWA NA BIBI TU!?…

Capture1.JPG
money
money
2 months ago

NYAMA TAMU LAKINI IMEUNDIWA KIKOSI MAALUMU YA KUIKATAZA (KUKEMEA) DUNIANI…. INAITWA NYAMA YA NGURUWE

Capture2.JPG
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x