Wenger awasili Tanzania kuishuhudia Simba SC

MKUU wa maendeleo ya soka kutoka Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA) Arsene Wenger amewasili Tanzania kushuhudia mchezo wa AFL kati ya Simba SC dhidi ya Al-Ahly uwanja wa Mkapa Dar es Salaam.
Wenger ambaye aliwahi kuifundisha klabu ya Arsenal ya England kwa mafanikio makubwa amewasili muda huu akiwa na baadhi ya watu wake wa karibu.
Mwamuzi mstaafu wa FIFA Pierluigi Collina ni miongoni mwa waliowasili pia
Viongozi ambao mpaka sasa wameshawasili ni Rais wa Fifa, Gianni Infantino na wengine ambao wote wataelekea uwanja wa Mkapa kwa mchezo huo.
I get paid more than $120 to $130 every hour for working on the web. I found out about this activity 3 months prior and subsequent to joining this I have earned effectively $15,000 from this without having internet working abilities.
.
.
Detail Here———————————————————–>>> http://Www.BizWork1.Com