Wizara ya Madini waja kisasa zaidi

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amesema wizara hiyo imejipanga kutumia njia za kisasa za kupata taarifa za kijiolojia kupitia mpango wa “Vision 2030, Madini ni maisha na Utajiri”, ili kuhakikisha sekta ya madini inalinuafaisha taifa, hivyo kuboresha maisha ya Watanzania.

Amesema hatua hiyo inatokana na ukweli kwamba ni asilimia 16 ya maeneo ya Tanzania yaliyofanyiwa tafiti za kisasa kubaini taarifa za kijiolojia za uwepo wa madini

Kiongozi huyo ameyasema hayo leo Oktoba 25, 2023 katika Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini unaofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC).

“Tunaamini kuwa utekelezaji wa dira ya 2030 itakuwa chachu katika upatikanaji wa madini nchini,” amesema Mavunde.

Mkutano huo ni wa siku mbili, hadi Oktoba 26, 2023 na unahudhuriwa na viongozi, washiriki na wageni mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
SandyLayman
SandyLayman
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by SandyLayman
Marry
Marry
1 month ago

●Im making over $13k a month working part time. I kept hearing other people tell me how much money they can make online so I decided to look into it. Well, it was all true and has totally changed my life.(ks)last month her pay check was $12712 just working on the laptop for a few hours. This is what I do, ↓↓↓↓VISIT THIS WEBSITE↓↓↓↓
HERE☛…..☛ http://Www.Smartcareer1.com

Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x