Wolper: Sitaki utani na ndoa, familia yangu

DSM; Msanii wa filamu nchini Jacquline Wolper amesema anaweza kufanya utani wa mambo mengi, lakini si kuhusu ndoa yake.

Amesema yapo mambo akitaniwa hawezi kujali, lakini sio kuhusu ndoa yake na familia kwa ujumla.

“Niseme tu kabisa mjuwe leteni utani masihara kwenye mambo yote nitapuuzia, lakini sio familia, ndoa wala baba watoto wangu sitawafumbia macho kabisa,”amesema Wolper.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
NieveHill
NieveHill
2 months ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 2 months ago by NieveHill
Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x