Yanga kambini wiki ijayo

MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe amesema kuanzia Julai 10, 2023 wachezaji wa Yanga wapya na wazamani wataanza kuingia kambini tayari kujiandaa na msimu mpya.
Kamwe amesema hayo leo Julai 3, 2023 kwenye mkutano wa waandishi wa habari.
“Julai 10, wachezaji wataanza kuingia kambini wote wapya na wazamani watakutana Avic Town, alafu sasa ndio watajua Pre season itakuwa Avic au sehemu nyingine,” Ally Kamwe
My last paycheck was $2500 for working 12 hours a week online. My sisters friend has been averaging 8k for months now and she works about 30 hours a week. I can’t believe how easy it was once I tried it out. The potential with this is endless.
…
This is what I do……….>>> https://goodfuture10.blogspot.com