Yanga wapewa kombe lao

MABINGWA wa Ligi Kuu Bara, yanga leo wamekabidhiwa ubingwa wao baada ya kumalizika kwa mchezo wa mwisho wa ligi hiyo dhidi ya Tanzania Prisons.

Yanga imetwaa ubingwa huo ikiwa na pointi 78, wakifuatiwa na watani wao Simba wenye pointi 73.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button