Yanga yalimwa faini Sh milioni 2

Klabu ya Yanga imetozwa faini ya Sh milioni 2 na Bodi ya Ligi Kuu kwa makosa mawili.

Katika mchezo dhidi ya Ihefu uliochezwa wiki mbili zilizopita, baadhi ya mashabiki wa Yanga walirusha chupa za maji kiwanjani baada ya timu ya Ihefu kufunga bao la pili, hilo kosa la kwanza.

Kosa la pili, maofisa wa benchi la ufundi wa Yanga kuonekana wakipinga maamuzi na kumzonga mwamuzi wa akiba.

Kila kosa limetozwa faini ya Sh milioni 1.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
KathleenCalvert
KathleenCalvert
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by KathleenCalvert
Julia
Julia
1 month ago

Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month i have earned and received $18,000 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online.
.
.
Detail Here————————————————————>>>  http://Www.BizWork1.Com

Work At Home
Work At Home
1 month ago

My last salary was $8,750 only worked 12 hours a week. My longtime neighbor estimated $15,000 and works about 20 hours for seven days. I can’t believe how blunt vs04 he was when 
I looked up his information, 

For More Details…… http://Www.Smartcash1.com

Last edited 1 month ago by Work At Home
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x