Yonas: pimeni afya, fanyeni kazi kwa upendo

KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonas amewataka watumishi wa ofisi hiyo kuacha tabia bwete, kufanya mazoezi na kujenga tabia ya kupima afya zao mara kwa mara.
Dk Yonas ameyasema hayo akifungua kikao chake na watumishi wa ofisi hiyo na kuwataka kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa lengo la kuongeza ufanisi na kuyafikia malengo ya Serikali.
“Tumepata fursa ya kukumbushwa kupima afya zetu, hii ni changamoto inayotukabili, hivyo ni muhimu kuzingatia ushauri wa afya na masharti ya namna ya kuboresha masuala yanayohusu afya zetu.” Amesema Yonas na kuongeza
“Falsafa yangu ni kuona watu ninaowaongoza wanafanya kazi kwa upendo na kushirikiana, napenda kufanya kazi na watu wanaoheshimiana na wenye amani siamini kama mtu anaweza akafikiri vizuri iwapo hana amani ndani.”Amesema
Cash generating easy and fast method to work part time and earn an extra $15,000 or even more than this online. By working in my spare time I made $17990 in my previous month and I am very happy now because of this job. you can try this now by following
the details here…… https://Www.Worksprofit.com
Make money online from home extra cash more than $18000 to $21000. Start getting paid every month Thousands Dollars online. I have received $26000 in this month by just working online from home in my part time. every person easily do this job.
….
Open This Website…..>>> http://www.Richcash1.com
Home cash earning job to earns more than $500 per day. getting paid weekly morethan $3.5k or more simply doing easy work online. no special skills requiredfor this job and regular earning from this are just awesome. all you need is 2hrs a day for this job and earning are awesome. every person can get this byfollow details here.
.
.
Here►—————————➤ http://WWW.JOIN.HIRING9.COM
l get paid over $190 per hour working from home. l never thought I’d be able to do it but my best frlend earns over $17606 a month doing this and she convinced me to try.
The possibility with this is endless.………..>> https://Www.SmartCash1.com