Zaidi ya magari 2000 hupakuliwa bandari ya Dar kila siku
MAMLAKA ya Bandari nchini (TPA) imesema inapokea zaidi ya magari 2,000 kila siku kupitia Bandari ya Dar es Salaam ambapo asilimia 60 ya magari hayo huenda nchi jirani.
Mkurugenzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Mrisho Mrisho amewaambia wanahabari mjini Bagamoyo wakati wa kikao kazi kuwa Idadi hiyo inatokana na maboresho katika Bandari hiyo ikiwa ni pamoja na maboresho katika eneo lenye ukubwa mita za mraba 76,000.
Mrisho amesema eneo hilo kwa sasa linauwezo wa kubeba magari zaidi ya 6,000 na limefungwa na miundombinu ya kisasa kuwezesha ulinzi na usalama.
Mkurugenzi wa Huduma za Usalama katika Mamlaka ya Bandari nchini amesema kuna zaidi ya kamera za ulinzi (CCTV) 450 ambazo zimefungwa katika bandari ya Dar es Salaam ili kuimarisha usimamizi wa bandari hiyo.
Mpanda amesema, Mamlaka pia imefunga midaki (Scanners) katika bandari hiyo ili kubaini mizigo ambayo imepakiwa kwenye makasha (containers). Akizungumza na wanahabari katika kikao kazi kinachoendelea Bagamoyo mkoani Pwani, Mpanda amesema Mamlaka pia inaendelea na mpango wa kuunganisha Bandari zote 86 katika mfumo wa kisasa utakao wezesha utambuzi wa shughuli zote katika bandari.
“Tumeweka mifumo hii ya kiteknolojia lakini pia kuna askari na doria ambazo zinafanyika ili kuhakikisha usalama na kudhibiti uhalifu bandarini,” amesema Mpanda.




Your point of view caught my eye and was very interesting. Thanks. I have a question for you. https://www.binance.com/ph/register?ref=IU36GZC4
tải go88 là nền tảng giải trí trực tuyến phát triển từ năm 2017, sở hữu hệ thống hiện đại, tốc độ xử lý nhanh, kho nội dung đa dạng.
xf;
Handling over 2,000 vehicles a day is a huge logistical task, so I’m curious about how the port manages peak periods when arrivals increase unexpectedly. The expanded storage area and large number of CCTV cameras suggest that security and organization are major priorities, but technology alone probably isnt enough. Another interesting point is that 60% of the vehicles continue to neighboring countries, which shows how important Dar es Salaam is as a regional trade hub. It would be useful to know how these improvements have affected processing times.
Dar es Salaam Port’s growing vehicle-handling capacity shows how better infrastructure and modern technology can strengthen trade. The use of CCTV, scanners, and improved storage facilities is particularly encouraging, as stronger security and efficient operations are essential for keeping such a busy regional gateway running smoothly.
An excellent article; I read about the vehicle upgrading operations at the Port of Dar es Salaam—managed by the Tanzania Ports Authority—and it is a facility with immense capacity. It is truly impressive. The information in this post is well-organized and clearly explained. I gained valuable insights from reading this article. Thank you.
The daily movement of thousands of vehicles through Dar es Salaam Port reflects improved efficiency and its increasing contribution to regional connectivity, commerce, and transportation networks.