Zaidi ya Sh bilioni 48 kutumika ukarabati wa Meli

MWANZA: Serikali kupitia Kampuni ya Huduma za Meli Nchini (MSCL), imesaini mikataba mitatu yenye thamani ya zaidi ya Sh bilioni 48 kwaajili ya ukarabati wa Meli kongwe ya abiria ya Mv. Liemba iliyopo ziwa Tanganyika,Meli ya mafuta Mt.Nyangumi na Meli ya kutolea msaada(uokozi) ikiwemo kuvuta meli nyingine Mt.Ukerewe zote zipo ndani ya Ziwa Victoria.
Hafla hiyo imehudhuriwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi ,David Kihenzile pia kulishuhudiwa tukio la uzinduzi wa Meli ya mizigo ya Mv.Umoja”KAZI IENDELEE “baada ya kufanyiwa ukarabati mkubwa uliogharimu kiasi cha Sh bilioni 21 ambapo itakuwa na uwezo wa kubeba tani 1,200 za mizigo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
1 Comment
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Angila
Angila
13 days ago

Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month i have earned and received $18539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online. Get this today by follow instructions..
.
.
On This Website……………..> > http://remarkableincome09.blogspot.com

Back to top button
1
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x