Wagonjwa 480 watolewa mawe njia mawimbi mtetemo

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imehudumia zaidi ya wagonjwa 480 waliokuwa na changamoto ya mawe kwenye figo kwa kutumia mashine maalumu ya kuvunja mawe kwenye figo kwa kutumia mawimbi mtetemo ((Extracorporeal Shock Wave Lithotripsy-ESWL)

Huduma hiyo ambayo ilianza Juni, 2020  inatolewa katika kliniki ya magonjwa ya mfumo wa mkojo Muhimbili- Mloganzila.

Hayo yamesemwa na daktari bingwa wa upasuaji mfumo wa mkojo, Dk Hamis Isaka alipokuwa akielezea mafanikio ya huduma hiyo ambayo kwa hospitali za umma hapa nchini inatolewa na MNH-Mloganzila pekee.

Dk Isaka amesema kupitia matibabu hayo mawe kwenye figo yanasagwa kwa njia ya mawimbi mtetemo na kuwa chembe ndogo ndogo mithili ya mchanga ambao zinatoka kwa njia ya haja ndogo.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
2 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
AmberBolduc
AmberBolduc
1 month ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 1 month ago by AmberBolduc
Work AT Home
Work AT Home
1 month ago

I make up to $90 an hour working from my home. My story is that I quit working at Walmart to work online and with a little effort I easily bring in around $40h to $86h… Someone was good to me by sharing this link with me, so now i am hoping i could help someone else out there by sharing this link… 

Try it, you won’t regret it!….. http://Www.Smartcash1.com

Last edited 1 month ago by Work AT Home
Back to top button
2
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x