Zimbabwe yatangaza hali ya dharura mlipuko Kipindupindu

ZIMBABWE imetangaza hali ya dharura katika mji Mkuu wa Harare kufuatia mlipuko wa Kipindupindu.
–
Mlipuko huo hadi sasa umeua makumi ya watu huku kukiwa na kesi 7,000 zinazoshukiwa.
–
Wakuu wa jiji wanasema mlipuko huo, unaoenea katika jiji lote, umeibua kumbukumbu za mlipuko mbaya mnamo 2008, ambapo maelfu walikufa.
“Tumetangaza hali ya hatari kwa sababu ya kipindupindu,” Meya Ian Makone alisema.
Mamlaka sasa inaomba msaada wa kudhibiti kuenea na kutoa maji salama, ikisema msaada unaopokelewa hautoshi.
Mamlaka za afya zimekuwa zikijitahidi kudhibiti idadi kubwa ya waliolazwa kufuatia kuzuka kwa ugonjwa huo.
I am making $165 an hour working from home. I was greatly surprised at the same time as my neighbour advised me she changed into averaging $195. However, I see the way it works now. I experience masses freedom now that I’m my non-public boss.
.
.
Detail Here——————————————————>>> http://Www.BizWork1.Com