KUNA dalili kuwa huenda Kai Havertz akasepa Chelsea, baada ya Arsenal kuwasilisha ombi lingine la kumsajili Mjerumani huyo. Imeelezwa Arsenal imerudi tena kwa Havertz wakiwa na dau la £65m. Mazungumzo yatafuata baina ya timu hizo kuhusu dau hilo jipya. Havertz amekuwa muazi kwamba anataka kuondoka Stanford Bridge kwenda Arsenal, kwa mujibu wa mwandishi wa habari … Continue reading Havertz anaitaka Arsenal
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed