Milioni 2 wanufaika na Kampeni ya Mama Samia ya Msaada wa Kisheria
DAR ES SALAAM — Kampeni ya Mama Samia Legal Aid, iliyoanzishwa mwaka 2023 kwa lengo la kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi, imewafikia na kuwahudumia zaidi ya wananchi milioni 2 nchini kote. Kampeni hiyo sasa inatua rasmi jijini Dar es Salaam kuanzia Juni 16 hadi Juni 25, 2025. Kampeni hii ni matokeo ya ushirikiano kati … Continue reading Milioni 2 wanufaika na Kampeni ya Mama Samia ya Msaada wa Kisheria
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed