MRADI mkubwa wa Kituo cha Biashara cha Afrika Mashariki (EACLC) unaojengwa Ubungo unatarajiwa kuwa kiunganishi kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati na ndio wadhamini wakuu wa Maonesho ya 47 ya Kimataifa ya Biashara ‘Sabasaba’. Hayo yamesemwa leo Julai 4, 2023 na Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Exaud Kigahe akizungumza leo Julai 4, … Continue reading Tanzania kuwa Guangzhou
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed