Wadau wa fedha kidigitali wamlilia Dk Jafo
WADAU wa masuala ya kidigitali nchini wamemuoamba Waziri wa Viwanda na Biashara Dk Selemani Jafo kuanza kuangalia sekta hiyo hasa upande wa usafirishaji fedha kidigitali yenye lengo la kuleta mabadiliko na kujenga jamii jumuishi kwa maendeleo endelevu. Akizungumza katika mkutano wa Waziri wa Viwanda na Biashara na viongozi wa vyama vya biashara Tanzania ulioandaliwa na … Continue reading Wadau wa fedha kidigitali wamlilia Dk Jafo
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed