Kafulila ahudhuria ujenzi SGR

KIGOMA: Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC), David Kafulila, amehudhuria hafla ya uwekaji wa Jiwe la Msingi la ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha sita kutoka Tabora hadi Kigoma iliyoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Jumatatu, Julai 20, 2026.

Kafulila alikuwa miongoni mwa watendaji wa taasisi za Serikali zenye dhamana ya kutekeleza miradi ya kimkakati, ambapo Rais Samia alisema Kigoma haitakuwa mwisho wa reli tena, bali sehemu ya kufungua fursa za kiuchumi.

Habari Zifananazo

One Comment

  1. Google is now paying $300 to $500 per hour for doing work online work from home. Last paycheck of me said that $20537 from this easy and simple job. Its amazing and earns are awesome. No boss, full time freedom and earnings are in front of you. This job is just awesome. Every person can makes income online with google easily…………
    .
    M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→ https://Www.Payathome9.Com

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button