Mbunge ACT Wazalendo amsifu Rais Samia miradi Kigoma

KIGOMA; MBUNGE wa Jimbo la Kigoma Kaskazini kwa Chama cha ACT Wazalendo Kiza Nayeye amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa miradi mikubwa kwenye jimbo lake, ambayo anasema imeondoa changamoto kubwa zilizokuwa zikiwakabili.
Mayeye amesema hayo wakati Mwenge wa Uhuru ukiweka mawe ya msingi katika miradi ya ujenzi wa shule mpya ya sekondari ya Msimba Day na madaraja 16 ya mawe, miradi ambayo ilikuwa kero kubwa kwa wananchi hao na kikwazo katika mipango yao mbalimbali ya maendeleo.
Amesema kuwa ujenzi wa shule hiyo ilikuwa changamoto kubwa kwa wananchi wa kata hiyo, ambao walilazimika kutembea umbali mrefu hadi Sekondari ya Mwandiga.

Kufuatia ujenzi wa shule hiyo Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru, Wazo Mwang’onda alitoa rai kwa wazazi kutumia utekelezwaji wa mradi huo kama jambo la thamani kwao kuhakikisha watoto wao wanaenda shule, wanazingatia masomo, lakini pia kuhakikishaa miradi hiyo inalindwa na kutunzwa.
Awali Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya Kigoma, Chiriku Chilumba alisema shule hiyo itakayogharimu kiasi cha Sh milioni 603 ni moja ya shule mbili zilizojengwa, ili kusogeza huduma karibu na wananchi, lakini pia kujiandaa na ongezeko la wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka ujao.




Snoopreport Intagram tool іs ann ig tracker tһat hewlps yyou ѵiew public Instagram
activity tһrough ɑ private instagram dashboard. Ꮤith Snoopreport, ʏou ⅽan track recent follօws and receive
clean weekly instagram reports ѡithout installing an app.
Ꮤhether you ԝant to understand instagram insights, check ɑn instagram profile, ᧐r use ɑ simple follower tracker, Snoopreport mаkes the process easier ᴡith organised reports, public dataa tracking,
аnd a private dashboard. Іt is usefᥙl foг people ᴡho want bwtter
Instagram insights, track fߋllows and unfollows, review public engagement, аnd monitor activity trends
in one simple рlace.
I needed to thank you for this excellent read!! I absolutely enjoyed
every bit of it. I have got you saved as a favorite to look at new things
you post…