Featured

Featured posts

Dk Samia aongoza kikao Maalumu Kamati Kuu CCM

DAR ES SALAAM;Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)  na Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao Maalumu cha…

Soma Zaidi »

Serikali yaweka mkazo mifumo Uhamiaji Mtandao

DODOMA; Serikali imesema katika Mwaka wa Fedha 2025/2026, ilitoa kiasi cha Sh bilioni 69 kwa ajili ya ununuzi na ufungaji…

Soma Zaidi »

Mkakati wa Kudumu Utatuzi Migogoro ya Ardhi waandaliwa

DODOMA; Serikali imesema imeandaa Mkakati wa Kudumu Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Agosti 26, 2026…

Soma Zaidi »

Tanzania yatoa mchango uanachama EAC asilimia 100

DODOMA; Serikali ya Tanzania imesema tayari imeshatoa mchango wake wa uanachama katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (AEC) kwa mwaka wa…

Soma Zaidi »

Waziri Mkuu ataka ubunifu upelekwe sokoni

TANGA; Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ameitaka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia pamoja na taasisi zake kuhakikisha bunifu zinazozalishwa…

Soma Zaidi »

Dk Bashiru afungua kongamano la uvuvi

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Dk Bashiru Ally, amefungua Kongamano la Nne la Kimataifa la Uvuvi na…

Soma Zaidi »

TAFICO waja kivingine kuimarisha sekta uvuvi

DAR ES SALAAM: SHIRIKA la Uvuvi Tanzania (TAFICO), limesaini mkataba wa ujenzi wa meli mbili za uvuvi wa bahari kuu…

Soma Zaidi »

Miss Universe kuhamasisha matumizi nishati safi

DAR ES SALAAM; Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amewapongeza washiriki wa shindano la urembo la Miss Universe Tanzania kwa…

Soma Zaidi »

Kamati ya Bunge yasifu ufanisi Wizara ya Viwanda na taasisi zake

DODOMA; Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, ikiongozwa na Mwenyekiti wak, Deodatus Mwanyika, imeipongeza Wizara…

Soma Zaidi »

Mwandishi DailyNews Digital ang’ara Tuzo za TMDA

MANYARA; Mwandishi wa habari wa Dailynews Digital, Aveline Kitomary ameibuka mshindi wa jumla wa uandishi wa habari za dawa,vifaatiba na…

Soma Zaidi »
Back to top button