Featured

Featured posts

TBS yatahadharisha matumizi vipodozi vyenye viambata sumu

DAR ES SALAAM; Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeonya wananchi kuhusu matumizi ya vipodozi visivyo salama, likisema bidhaa hizo zinaweza…

Soma Zaidi »

Kamati ya Bunge yaunga mkono uanzishwaji bodi ya wanajiosayansi

MWANZA: Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Subira Mgalu amesema kuwa miongoni mwa masuala ambayo…

Soma Zaidi »

IJA yawapiga msasa madalali wa mahakama

DAR ES SALAAM; Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA), kimeanza mafunzo ya kundi la 17 ya Udalali na Usambazaji…

Soma Zaidi »

‘Wagonjwa wa ubongo, uti wa mgongo wapatiwe ushauri wa kitaalamu’

Dar es Salaam: Takribani watu 70 wenye changamoto mbalimbali zinazohusiana na ubongo na uti wa mgongo wamepatiwa ushauri wa kibingwa…

Soma Zaidi »

Rekodi zavunjwa michuano ya Kuogelea

DAR ES SALAAM: REKODI zilizovunjwa na waogeleaji katika Mashindano ya Taifa ya Kuogelea yaliyomalizika jana zimeonesha maendeleo ya mchezo huo…

Soma Zaidi »

Vijana waliopata ufadhili wa masomo wawasili N-AIST

ARUSHA; Vijana waliopata ufadhili wa mafunzo kupitia Programu ya Samia Scholarship Extended, wamewasili Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia…

Soma Zaidi »

Mbunge ACT Wazalendo amsifu Rais Samia miradi Kigoma

KIGOMA; MBUNGE wa Jimbo la Kigoma Kaskazini kwa Chama cha ACT Wazalendo Kiza Nayeye amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa…

Soma Zaidi »

Mambo yameiva mradi wa uondoshaji majitaka Buguruni

DAR ES SALAAM; Mradi wa uondoshaji majitaka eneo la Buguruni, Wilaya ya Ilala unaotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi…

Soma Zaidi »

Simba ndo zao kimataifa bwana!

DAR ES SALAAM;  Simba imetinga hatua ya pili michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa…

Soma Zaidi »

Libasse Gueye, Mngqithi wang’ara Agosti Tuzo TFF

DAR ES SALAAM; Kiungo mshambuliaji wa Simba ya Dar es Salaam, Libasse Gueye, amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Agosti…

Soma Zaidi »
Back to top button