Sayansi & Teknolojia

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Programu kuharakisha mfumo ubunifu yazinduliwa

DAR ES SALAAM; TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kwa kushirikiana na Sahara Ventures, imezindua rasmi programu ya…

Soma Zaidi »

Faragha kipaumbele Galaxy S26 Ultra ikiingia sokoni

Dar es Salaam: Samsung Electronics imezindua rasmi Galaxy S26 series nchini Tikiongozwa na Galaxy S26 Ultra. Bidhaa hii inaleta ubunifu…

Soma Zaidi »

Helios yatoa vifaa vya mil 30/- kukuza TEHAMA shuleni

NYASA, RUVUMA: Wakati taifa likichukua hatua mbalimbali kukuza uchumi wa kidijiti, Kampuni ya Helios Towers imetoa vifaa vya kisasa vya…

Soma Zaidi »

Rais Mstaafu Kikwete ashiriki mkutano AUDA-NEPAD

Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Elimu Duniani (Global Partnership for Education – GPE) Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ameshiriki katika…

Soma Zaidi »

Tanzania yaendelea kupiga hatua teknolojia kilimo

ARUSHA: TANZANIA imeendelea kupiga hatua kubwa katika matumizi ya teknolojia ya nyuklia kwenye sekta za afya, kilimo, uhifadhi wa chakula…

Soma Zaidi »

Confucius, JUYE wadhamini 27 kusoma Kichina

DAR ES SALAAM: WANAFUNZI 27 wa Taasisi ya Confucius katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wamepata udhamini wa kuendelea…

Soma Zaidi »

Taasisi yajizatiti mageuzi teknolojia

“Sekta ya teknolojia ni injini ya maendeleo. Tunazitaka kampuni na taasisi mbalimbali kuungana nasi katika kuendeleza juhudi za kulijenga taifa…

Soma Zaidi »

‘Uzinduzi WCX kuimarisha uchumi kidijitali’

Dar es Salaam; KUZINDULIWA kwa Jukwaa la Wingu Cloud Exchange (WCX) kumeelezwa kutaimarisha kwa kiasi kikubwa uchumi wa kidijitali. Hatua…

Soma Zaidi »

KKKT waja kidijiti zaidi

DAR ES SALAAM; KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), limeingia makubaliano na Kampuni ya Unicx AI Data Limited itakayoliwezesha…

Soma Zaidi »

NM-AIST yaunga mkono mafunzo AI, sayansi data

ARUSHA: TAASISI ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) imekabidhi vitendea kazi vya kompyuta 50 kwa wanafunzi…

Soma Zaidi »
Back to top button