Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Tume ya Madini yaridhishwa na ukusanyaji wa maduhuli

‎DODOMA: KAMISHENI ya Tume ya Madini imeridhishwa na kasi ya ukusanyaji wa maduhuli katika Sekta ya Madini kupitia Tume ya…

Soma Zaidi »

Vikwazo biashara vyatajwa kuathiri mauzo ya Tanzanite

DODOMA: Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema mwenendo wa biashara ya madini ya Tanzanite duniani umeendelea kukabiliwa na changamoto ya…

Soma Zaidi »

Madini ya bil 3/- yanaswa yakitoroshwa

DODOMA: Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema kuwa katika kipindi cha Julai 2025 hadi Machi 2026, wizara yake kwa kushirikiana…

Soma Zaidi »

Wafanyabiashara madini wakumbushwa sheria

‎DODOMA: Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, ametoa rai kwa wachimbaji na wafanyabiashara wa madini nchini kuzingatia sheria zilizowekwa ili kuhakikisha…

Soma Zaidi »

SADC yataka uratibu imara uwekezaji madini Afrika

DAR ES SALAAM: Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imetoa wito wa kuimarishwa kwa uratibu kati ya serikali…

Soma Zaidi »

Madini nguzo muhimu ukuaji wa uchumi Tanzania

DAR ES SALAAM: Tanzania inaendelea kuiweka sekta ya madini kama nguzo muhimu ya kukuza uchumi wa viwanda na kuimarisha ushirikiano…

Soma Zaidi »

Madini ya vito yavutia fursa ya uwekezaji

SPINEL ni mojawapo ya madini ya vito yenye thamani kubwa duniani, inayojipatia umaarufu mkubwa kimataifa kutokana na ubora wake, rangi…

Soma Zaidi »

Serikali, Lifezone wajadili Mradi wa Kabanga

MSAJILI wa Hazina,Nehemiah Mchechu, amekutana na Mwanzilishi na Mwenyekiti wa kampuni ya Lifezone Metals Limited, Keith Liddell, kujadili maendeleo ya…

Soma Zaidi »

‘Kutoka migodini hadi kupewa tuzo Kimataifa’

KATIKA sekta ya madini Tanzania, ambako mara nyingi wanawake wamekuwa upande wa pili wa historia. Leminatha Cornel Kabigumila amefungua mlango…

Soma Zaidi »

Tanzania kuitangaza ‘Tanzanite’ Qatar

SERIKALI imesema imeweka mkakati wa kutangaza madini ya tanzanite nchini Qatar ili kuongeza wigo wa masoko yake na kuvutia uwekezaji…

Soma Zaidi »
Back to top button