Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Tume ya Madini yaimarisha ukaguzi migodi

DODOMA: Tume ya Madini imeendelea kuimarisha ukaguzi wa migodi ili kuhakikisha shughuli zote za uchimbaji zinafanyika kwa kuzingatia sheria, usalama…

Soma Zaidi »

Madini ya Sh Bil 1.3 yakamatwa Dar yakitoroshwa

DAR ES SALAAM; Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema serikali itaendelea kuchukua hatua kali dhidi ya wanaojihusisha na utoroshaji wa…

Soma Zaidi »

Tanzania kinara wa graphite Afrika

MJIOLOJIA kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Njombe, Abbas Mruma, amesema Tanzania inaendelea kujijengea nafasi muhimu duniani kutokana…

Soma Zaidi »

Maarifa yahitajika kuendeleza sekta ya madini

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amewataka wanafunzi kutumia maarifa, ujuzi na uzoefu ambapo ukitumika ipasavyo unaweza kuifanya…

Soma Zaidi »

Njombe kugeuka kitovu kipya cha madini nchini

NJOMBE: MKOA wa Njombe unatarajiwa kuwa kitovu kipya cha uchumi wa madini nchini kufuatia uwekezaji mkubwa katika miradi ya uchimbaji…

Soma Zaidi »

Tume ya Madini yaridhishwa na ukusanyaji wa maduhuli

‎DODOMA: KAMISHENI ya Tume ya Madini imeridhishwa na kasi ya ukusanyaji wa maduhuli katika Sekta ya Madini kupitia Tume ya…

Soma Zaidi »

Vikwazo biashara vyatajwa kuathiri mauzo ya Tanzanite

DODOMA: Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema mwenendo wa biashara ya madini ya Tanzanite duniani umeendelea kukabiliwa na changamoto ya…

Soma Zaidi »

Madini ya bil 3/- yanaswa yakitoroshwa

DODOMA: Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema kuwa katika kipindi cha Julai 2025 hadi Machi 2026, wizara yake kwa kushirikiana…

Soma Zaidi »

Wafanyabiashara madini wakumbushwa sheria

‎DODOMA: Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, ametoa rai kwa wachimbaji na wafanyabiashara wa madini nchini kuzingatia sheria zilizowekwa ili kuhakikisha…

Soma Zaidi »

SADC yataka uratibu imara uwekezaji madini Afrika

DAR ES SALAAM: Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imetoa wito wa kuimarishwa kwa uratibu kati ya serikali…

Soma Zaidi »
Back to top button