Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Tanzania kinara wa graphite Afrika

MJIOLOJIA kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Njombe, Abbas Mruma, amesema Tanzania inaendelea kujijengea nafasi muhimu duniani kutokana…

Soma Zaidi »

Maarifa yahitajika kuendeleza sekta ya madini

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde amewataka wanafunzi kutumia maarifa, ujuzi na uzoefu ambapo ukitumika ipasavyo unaweza kuifanya…

Soma Zaidi »

Njombe kugeuka kitovu kipya cha madini nchini

NJOMBE: MKOA wa Njombe unatarajiwa kuwa kitovu kipya cha uchumi wa madini nchini kufuatia uwekezaji mkubwa katika miradi ya uchimbaji…

Soma Zaidi »

Tume ya Madini yaridhishwa na ukusanyaji wa maduhuli

‎DODOMA: KAMISHENI ya Tume ya Madini imeridhishwa na kasi ya ukusanyaji wa maduhuli katika Sekta ya Madini kupitia Tume ya…

Soma Zaidi »

Vikwazo biashara vyatajwa kuathiri mauzo ya Tanzanite

DODOMA: Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema mwenendo wa biashara ya madini ya Tanzanite duniani umeendelea kukabiliwa na changamoto ya…

Soma Zaidi »

Madini ya bil 3/- yanaswa yakitoroshwa

DODOMA: Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema kuwa katika kipindi cha Julai 2025 hadi Machi 2026, wizara yake kwa kushirikiana…

Soma Zaidi »

Wafanyabiashara madini wakumbushwa sheria

‎DODOMA: Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, ametoa rai kwa wachimbaji na wafanyabiashara wa madini nchini kuzingatia sheria zilizowekwa ili kuhakikisha…

Soma Zaidi »

SADC yataka uratibu imara uwekezaji madini Afrika

DAR ES SALAAM: Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imetoa wito wa kuimarishwa kwa uratibu kati ya serikali…

Soma Zaidi »

Madini nguzo muhimu ukuaji wa uchumi Tanzania

DAR ES SALAAM: Tanzania inaendelea kuiweka sekta ya madini kama nguzo muhimu ya kukuza uchumi wa viwanda na kuimarisha ushirikiano…

Soma Zaidi »

Madini ya vito yavutia fursa ya uwekezaji

SPINEL ni mojawapo ya madini ya vito yenye thamani kubwa duniani, inayojipatia umaarufu mkubwa kimataifa kutokana na ubora wake, rangi…

Soma Zaidi »
Back to top button