Madini

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Wachimbaji madini Manyara watakiwa kushirikiana

MKUU wa Mkoa wa Manyara, Quinee Sendiga amewataka wachimbaji wa madini katika Mkoa wa Manyara kushirikiana katika kufanya kazi za…

Soma Zaidi »

THBUB yathibitisha hakuna ukiukaji

MARA : TUME  ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imebainisha kuwa  hakukuwa  na ukiukwaji wowote wa haki za…

Soma Zaidi »

Serikali kuongeza thamani ya tanzanite

ARUSHA : SERIKALI imesema ina mpangokazi wa kupandisha thamani ya soko la madini ya tanzanite kwenye soko la dunia. Waziri…

Soma Zaidi »

Vifungashio kuboreshwa kudhibiti utoroshaji madini

DAR ES SALAAM: TUME ya madini ipo kwenye mchakato wa kuboresha vifungashio vya madini katika masoko ya madini nchi nzima,…

Soma Zaidi »

Serikali yasitisha uchenjuaji dhahabu mgodi EMJ Simiyu

SIMIYU: Serikali wilayani Busega Mkoa wa Simiyu, imesitisha shughuli za uchenjuaji wa dhahabu katika mgodi wa EMJ kutokana na wananchi…

Soma Zaidi »

Dk Kiruswa kufunga Jukwaa la Madini

ARUSHA; NAIBU Waziri wa Madini, Dk Steven Kiruswa ametembelea maonesho, ikiwa ni sehemu ya Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji wa…

Soma Zaidi »

Mabadiliko Sheria ya Madini yawabeba Watanzania

ARUSHA: MABADILIKO ya Sheria ya Madini ya mwaka 2010 yametoa fursa kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini na kuhakikisha Watanzania wananufaika…

Soma Zaidi »

Waishukuru Serikali mazingira mazuri ya uwekezaji

ARUSHA: KAMPUNI ya Uchimbaji wa Dhahabu ya Geita (GGML) imeishukuru Serikali kwa kutoa mazingira mazuri ya uwekezaji. Akizungumza leo Mei…

Soma Zaidi »

‘Changamkieni fursa sekta ya madini’

ARUSHA: WATANZANIA wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo katika uwekezaji katika sekta ya madini ili kuupiga jeki uchumi wa taifa kwa kutengeneza…

Soma Zaidi »

Jukwaa sekta ya madini kufanyika Arusha Mei 22

ARUSHA: Jukwaa la Tatu la Utekelezaji wa Ushirikishwaji wa Watanzania katika sekta ya madini litafanyika Mei 22 hadi 24, 2024…

Soma Zaidi »
Back to top button