Mafuta
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
-
May- 2026 -13 May
Mfumo wa PRIS kuzinduliwa kesho
Dar es Salaam – Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Puma Energy Tanzania, Fatma Abdallah amesema Kampuni hiyo inaunga mkono Mfumo…
Soma Zaidi » -
12 May
Chevron: Tupo tayari kuwekeza Tanzania
London, Uingereza: Kampuni kubwa nishati kutoka Marekani, Chevron Corporation imeeleza utayari wake wa kuwekeza nchini Tanzania katika shughuli za utafutaji…
Soma Zaidi » -
11 May
EACOP yatekeleza programu ya kujenga uwezo kukuza ushiriki wa wazawa
DODOMA: JITIHADA za kukuza ushiriki wa wazawa kwenye Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) zimeendelea kuimarika,…
Soma Zaidi » -
6 May
Tanzania yaendelea kuhimili bei ya mafuta duniani
DAR ES SALAAM: MENEJA Mwekezaji wa Bohari ya Mafuta ya MOIL Energies Dk Sajad Habib Rai, amesema Serikali ya Tanzania…
Soma Zaidi » -
Apr- 2026 -17 April
Miradi ya gesi Mtwara yaikosha kamati ya Baraza la Wawakilishi
DODOMA: Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya Uchumi na Uwekezaji Zanzibar imeeleza kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya gesi asilia…
Soma Zaidi » -
17 April
TASAC yajadili mabadiliko bei ya mafuta
KAGERA: Mabadiliko ya bei elekezi ya mafuta iliyoanza kutumika Aprili Mosi mwaka huu yamepelekea Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania…
Soma Zaidi » -
11 April
Kampuni ya mafuta yafurahishwa mfumo ulipaji kodi
DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya Uingizaji na Usambazaji wa mafuta Jamii ya Petrol nchini ya ‘MOIL Energies’ imesema imefurahishwa kwa…
Soma Zaidi » -
8 April
TPSF yandaa andiko athari bei za mafuta
DAR ES SALAAM: Shirikisho la sekta binafsi Tanzania (TPSF) imeandaa andiko la kisera pamoja na mapendekezo yanayolenga kukabiliana na athari…
Soma Zaidi » -
1 April
Serikali yaahidi suluhisho kupanda mafuta
KUPANDA kwa bei ya mafuta nchini kumesababisha ongezeko la nauli za usafiri mkoani Kilimanjaro, hali ilivyowaathiri abiria na watoa huduma…
Soma Zaidi » -
Mar- 2026 -29 March
Utaratibu mpya TRA waharakisha usambazaji mafuta
DAR ES SALAAM: Utaratibu mpya wa kutoa mafuta kwenye vituo vya kuhifadhia mafuta ya dizeli na petroli kwenda sokoni uliowekwa…
Soma Zaidi »