Mafuta
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
-
Mar- 2026 -26 March
Wafanyabiashara marufuku kupandisha mafuta
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia James Mataragio leo amefanya ziara ya ukaguzi katika maghala…
Soma Zaidi » -
24 March
Serikali yaimarisha upatikanaji mafuta Malawi
DAR ES SALAAM: BANDARI ya Dar es Salaam imeendelea kuwa nguzo muhimu ya upatikanaji wa mafuta kwa nchi jirani ya…
Soma Zaidi » -
23 March
IEA : Tudhibiti mgogoro wa nishati
MKUU wa Shirika la Nishati la Kimataifa (IEA), Fatih Birol ametahadharisha kuwa mgogoro unaoendelea wa nishati Mashariki ya Kati unaweza…
Soma Zaidi » -
13 March
Wizara, PURA waweka mikakati utafitaji mafuta, gesi asilia
Dar es Salaam: Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia masuala ya mafuta na gesi asilia, Dk James Mataragio amekutana…
Soma Zaidi » -
Feb- 2026 -17 February
Waziri Ndejembi, Balozi wa Oman wajadili mafuta, gesi
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Oman nchini Tanzania, Saud Al-Shidhani yaliyolenga kuimarisha na…
Soma Zaidi » -
3 February
Mambo yaiva uchimbaji visima 3 vya gesi asilia Mtwara
Mtwara: Maandalizi ya uchimbaji wa visima vitatu vya gesi asilia katika Kitalu cha Mnazi Bay kilichopo mkoani Mtwara yamekamilika kwa…
Soma Zaidi » -
Jan- 2026 -13 January
Tathmini yaibua matumaini mapya gesi asilia
DAR ES SALAAM: Tathmini ya data za mitetemo za 3D zilizochukuliwa katika Kitalu cha Utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia…
Soma Zaidi » -
5 January
Mradi wa EACOP wazalisha zaidi ya ajira 10,000
DAR ES SALAAM: Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembe, amesema mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kutoka…
Soma Zaidi » -
Dec- 2025 -12 December
Mazungumzo mabadiliko matumizi ya mafuta kwenda gesi
SERIKALI kupitia Wizara ya Nishati imesema imekuwa na mazungumzo na Wizara ya Fedha kupunguza gharama na kodi katika vifaa vinavyotumika…
Soma Zaidi » -
Nov- 2025 -25 November
Ndejembi ataka kasi utafutaji gesi, mafuta
DAR ES SALAAM: Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi ameitaka Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kubuni mikakati thabiti…
Soma Zaidi »