Wafanyabiashara marufuku kupandisha mafuta

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Mafuta na Gesi Asilia James Mataragio leo amefanya ziara ya ukaguzi katika maghala ya kuhifadhi mafuta yaliyopo Kurasini, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari, Dk. Mataragio amesema Serikali haitasita kuchukua hatua kali za kisheria dhidi ya wafanyabiashara watakaobainika kuficha mafuta kwa lengo la kuyauza kwa bei ya juu. SOMA: Elimu inahitajika watumiaji huduma za maji, nishati
Ameeleza kuwa Serikali imepokea malalamiko kuhusu ucheleweshaji wa makusudi katika upakiaji wa mafuta pamoja na baadhi ya vituo kukosa huduma hiyo, hali iliyochochea kufanyika kwa ukaguzi huo ili kubaini ukweli wa mambo. “Serikali inataka kuhakikisha mafuta yanapatikana na yanafika katika vituo vyote nchini,” alisema Dk. Mataragio.
Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Dk. James Andilile amesema changamoto za upatikanaji wa mafuta katika soko la dunia zimechangiwa na athari za migogoro ya kimataifa, ikiwemo vita vinavyoendelea katika baadhi ya maeneo.
Hata hivyo amesisitiza kuwa Serikali ilichukua hatua mapema kuhakikisha upatikanaji wa mafuta unaendelea kuwa wa uhakika na kwamba kwa sasa hakuna uhaba wa mafuta nchini. Ziara hiyo imelenga kujiridhisha na hali ya upatikanaji, uhifadhi na usambazaji wa mafuta, pamoja na kufuatilia taarifa za kuwepo kwa changamoto katika baadhi ya maeneo nchini.




I get paid over $220 per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. the potential with this is endless…,
This is what I do….. http://www.giftpay7.vip
JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 12000-16700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern…………………… http://Www.Cash54.Com
I just came across this amazing way to earn $11,000-$15,000 a month online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
.
This is what I do…………………… http://Www.Payathome9.Com
[Chorus: A.T., Ray C]
We mama
Eh
Ntilie, unijazie
Ahadi nimeshakupa, subiri nikugaie
We mama
Eh
Ntilie, nifurahie
Naona umeshaanza visa, bora nikuuzie
[Verse 1: A.T.,Gelly Wa Rhymes,Ray-C]
We mama nipe kidogo
Ile nijikune kisogo
Leo mimi nimekuja ni kigogo
Nikae ila usilete zogo
Mama unitilie, unijazie
Na kama nitamwaga, sitozoa mie
Nipe utamu, utamu, mashamu, shamu
Mpaka mimi ni nipandwe na wazimu, yeah
Basi wacha papara, nikikupa utalala
Hapa ni pa biashara, na utakuja nikera
[Chorus: A.T., Ray C]
We mama
Eh
Ntilie, unijazie
Ahadi nimeshakupa, subiri nikugaie
We mama
Eh
Ntilie, nifurahie
Naona umeshaanza visa, bora nikuuzie
[Chorus: A.T., Ray C]
We mama
Eh
Ntilie, unijazie
Ahadi nimeshakupa, subiri nikugaie
We mama
Eh
Ntilie, nifurahie
Naona umeshaanza visa, bora nikuuzie
[Verse 1: A.T.,Gelly Wa Rhymes,Ray-C]
We mama nipe kidogo
Ile nijikune kisogo
Leo mimi nimekuja ni kigogo
Nikae ila usilete zogo
Mama unitilie, unijazie
Na kama nitamwaga, sitozoa mie
Nipe utamu, utamu, mashamu, shamu
Mpaka mimi ni nipandwe na wazimu, yeah
Basi wacha papara, nikikupa utalala
Hapa ni pa biashara, na utakuja nikera
[Chorus: A.T., Ray C]
We mama
Eh
Ntilie, unijazie
Ahadi nimeshakupa, subiri nikugaie
We mama
Eh
Ntilie, nifurahie
Naona umeshaanza visa, bora nikuuzie
[Chorus: A.T., Ray C]
We mama
Eh
Ntilie, unijazie
Ahadi nimeshakupa, subiri nikugaie
We mama
Eh
Ntilie, nifurahie
Naona umeshaanza visa, bora nikuuzie
[Verse 1: A.T.,Gelly Wa Rhymes,Ray-C]
We mama nipe kidogo
Ile nijikune kisogo
Leo mimi nimekuja ni kigogo
Nikae ila usilete zogo
Mama unitilie, unijazie
Na kama nitamwaga, sitozoa mie
Nipe utamu, utamu, mashamu, shamu
Mpaka mimi ni nipandwe na wazimu, yeah
Basi wacha papara, nikikupa utalala
Hapa ni pa biashara, na utakuja nikera
[Chorus: A.T., Ray C]
We mama
Eh
Ntilie, unijazie
Ahadi nimeshakupa, subiri nikugaie
We mama
Eh
Ntilie, nifurahie
Naona umeshaanza visa, bora nikuuzie