Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Soka la Tanzania litajengwa watanzania

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia, amesema ukosoaji wenye nia njema ni sehemu muhimu ya maendeleo ya…

Soma Zaidi »

Kocha wa viwango kuja Tanzania kuinua waogeleaji

DAR ES SALAAM: Mkurugenzi wa Monti International School, Fatma Fernandez, amesema shule hiyo imeanzisha mpango maalumu wa kuimarisha mchezo wa…

Soma Zaidi »

OTFA yaishukuru serikali kwa sapoti

DAR ES SALAAM: Kituo cha soka cha One Tanzanite Football Academy (OTFA) imerejea nchini ikiwa na mafanikio makubwa baada ya…

Soma Zaidi »

Ngajilo aja na mpango wa kuirudisha Iringa Ligi Kuu

IRINGA: Miaka sita tangu Lipuli FC ilipoaga Ligi Kuu Tanzania Bara mwishoni mwa msimu wa 2019/20, Mkoa wa Iringa unaonekana…

Soma Zaidi »

Watoto wenye mahitaji maalumu wafundishwa kuzuia kuzama

DAR ES SALAAM: WATOTO wenye mahitaji maalum wamepewa kipaumbele katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Kuzama Maji, kupitia…

Soma Zaidi »

Mwigulu: Fedha za Marathon zilete tija kwa walengwa

DODOMA. Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba amezitaka wizara na taasisi zinazonufaika na fedha za NBC Marathon zihakikishe zinatumika kwa uwazi…

Soma Zaidi »

Mtambo wa mabao huu hapa Msimbazi

DAR ES SALAAM: Simba SC wametanga kumnasa mshambuliaji, Ibrahim Doumbia kutoka QS Korofina ya Mali kwa mkataba wa miaka miwili.…

Soma Zaidi »

 Wasanii 19 kutumbuiza FuTopia Zanzibar

ZANZIBAR: WASANII na vikundi 19 kutoka Tanzania, Afrika Kusini, Burundi, Mexico, Chile na Canada wanatarajiwa kupanda jukwaani katika msimu wa…

Soma Zaidi »

Watengeneza maudhui kupata msukumo mpya serikalini

DAR ES SALAAM: Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa,…

Soma Zaidi »

Serikali yaombwa kuimarisha uhusiano taasisi za vijana

DAR ES SALAAM: Serikali imetakiwa kuimarisha ushirikiano na taasisi zinazoongozwa na vijana ili kuongeza fursa za ajira, kukuza vipaji vya…

Soma Zaidi »
Back to top button