Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Mkakati waiva kukuza vipaji UMITASHUMTA, UMISETA

IRINGA: SERIKALI imetangaza mkakati mpya wa kitaifa wa kutambua, kusajili na kufuatilia vipaji vinavyoibuliwa kupitia mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA,…

Soma Zaidi »

Malengo ya JKT Marathon yaleta mafanikio kwa jamii

DODOMA: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud amesema SUMA JKT Marathon imefanikiwa kufikia malengo yake…

Soma Zaidi »

Kinondoni yazindua hamasa kushangilia Serengeti Boys

DAR ES SAALAAM :MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule, amewahamasisha wakazi wa Tandale na Kinondoni kwa ujumla kujitokeza kwa…

Soma Zaidi »

Mafanikio Serengeti Boys yatinga bungeni

DODOMA; MBUNGE wa Bunda Mjini, Amos Bulaya muda huu anawasilisha hoja bungeni kuhusu Azimio la Bunge kuipongeza timu ya Taifa…

Soma Zaidi »

Manara ateuliwa msemaji timu za Taifa

DODOMA: WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amemteua Haji Manara kuwa msemaji wa timu zote za Taifa…

Soma Zaidi »

Umemtambua straika wa boli?

DAR ES SALAAM; Huyo wa mbele kabisa kulia ni miongoni mwa vipaji vikubwa katika safu ya ushambuliaji Tanzania aliyeng’ara na…

Soma Zaidi »

Rafiki wa Binti waweka nguvu Afya ya Hedhi

PWANI; MPANGO wa Rafiki wa Binti umezindua wimbo maalumu wa  kielimu wa Afya ya Hedhi ikiwa ni kuelekea Maadhimisho ya…

Soma Zaidi »

Ayoub atoa Sh milioni 21 kuimarisha michezo Unguja

ZANZIBAR: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud, ametoa mchango wa Sh milioni 21 kwa Chama…

Soma Zaidi »

Kampuni yatangaza fursa za michezo kuelekea AFCON 2027

DAR ES SALAAM: WAKATI Tanzania ikijiandaa kuwa mwenyeji wa mashindano ya AFCON 2027, kampuni ya T9 imeibuka na mkakati wa…

Soma Zaidi »

Bunge SC yadhaminiwa vifaa vya michezo

DODOMA; Kampuni ya Smart Sports imedhamini vifaa vya michezo kwa timu ya Bunge SC ya michezo mbalimbali, ikiwa sehemu ya…

Soma Zaidi »
Back to top button