Siasa

Kihongosi: Mkikosa vyeo msinung’unike

IRINGA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wanasiasa wanaohamia kwenye chama hicho kutoka upinzani kutolalamika wanapokosa vyeo. Kimesisitiza kuwa nafasi za…

Soma Zaidi »

Kihongosi: Msiwasikilize wanaobeza maendeleo

IRINGA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka Watanzania kutowasikiliza wanasiasa…

Soma Zaidi »

Kihongosi afunguka mbinu za ushindi CCM

IRINGA: Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amebainisha misingi mikuu inayokifanya…

Soma Zaidi »

Kihongosi awashauri wazazi, walimu kujenga kizazi bora

IRINGA: KATIBU wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Maoinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amewataka wazazi kushirikiana na…

Soma Zaidi »

Kihongosi: Wazazi watambue na kulea vipaji vya watoto

IRINGA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa, Kenani Kihongosi amewataka wazazi na walezi kuvitambua…

Soma Zaidi »

CCM kusukuma ujenzi wa barabara Kilolo ~ Moro

IRINGA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaendelea kusukuma utekelezaji wa ujenzi wa kipande kilichosalia cha barabara ya lami katika Wilaya…

Soma Zaidi »

Mradi wa VETA Kilolo kutoa fursa za ajira

IRINGA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) , Kenani Kihongosi amesema kukamilika kwa mradi…

Soma Zaidi »

Kihongosi awataka wananchi kuwaunga mkono viongozi

IRINGA: Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapunduzi (CCM), Kenani Kihongosi amewataka wananchi wa…

Soma Zaidi »

Shabiby: Mfumo wa leseni za bodaboda upitiwe upya.

DODOMA: MBUNGE wa Gairo, Ahmed Shabiby, ameutaka Serikali kupitia upya mfumo wa utoaji wa leseni kwa waendesha bodaboda, akieleza kuwa…

Soma Zaidi »

Kadogosa: Biashara ndogondogo zahitaji mazingira wezeshi

MBUNGE wa Bariadi Vijijini, Masanja Kadogosa, amesema biashara ndogondogo zinapaswa kuwekewa mikakati madhubuti na mazingira rafiki ili ziweze kustawi na…

Soma Zaidi »
Back to top button