Fedha

Biashara Tanzania, Malawi sasa ioneshe ‘sura mpya’

WIKI mbili za hivi karibuni, HabariLEO Afrika Mashariki lilikuwa na makala zinazohusu uhusiano wa kibiashara baina ya Tanzania na Malawi…

Soma Zaidi »

TRA, SICPA wauangana kutoa mafunzo utendaji mfumo wa Smart DAS

DAR ES SALAAM: Katika juhudi endelevu za kuboresha usimamizi wa kodi na kuongeza uzingatiaji miongoni mwa wazalishaji wa bidhaa zinazotozwa…

Soma Zaidi »

Kishindo Benki ya Ushirika

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema ndoto imetimia ya kuwa na Benki ya Ushirika nchini na imeanza ikiwa imara. Benki hiyo…

Soma Zaidi »

Exim yaboresha utoaji mikopo kwa watumishi wa umma kupitia Utumishi Portal

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mkopo huu unajumuisha bima ya maisha katika kipindi cha mkopo ambao mtumishi atachukua.

Soma Zaidi »

Katibu Mkuu Dk Mwamba akutana na Mkurugenzi Afritac East

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dk Natu El-maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Taasisi ya Afritac East,…

Soma Zaidi »

Rais Dk. Mwinyi aipongeza Benki Kuu ya Tanzania (BOT)

ZANZIBAR : RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema Mafanikio  ya Ukuaji wa…

Soma Zaidi »

Kampeni ya ‘Kuchanja kijanja’ kumwezesha mashabiki kushuhudia fainali UEFA

DAR ES SALAAM: Benki ya Exim kwa kushirikiana na Mastercard wamezindua rasmi Kampeni ya UEFA Priceless, mpango kabambe unaolenga kuhamasisha…

Soma Zaidi »

‘Serikali inatambua umuhimu ushirikiano Sekta ya Umma, Binafsi’

SERIKALI imesema inatambua umuhimu wa ushirikino kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi katika kukuza uchumi wa nchi, huku…

Soma Zaidi »

TRA makusanyo juu 78% miaka minne

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeongeza makusanyo ya kodi kwa asilimia 78 katika miaka minne ya Serikali ya Awamu ya…

Soma Zaidi »

Serikali yapunguza utegemezi wa bajeti

SERIKALI imependekeza ukomo wa Bajeti ya Serikali wa Sh trilioni 57.04 kwa mwaka wa fedha 2025/2026. Ukomo huo ni sawa…

Soma Zaidi »
Back to top button