Fedha

Serikali yatangaza operesheni dhidi ya magendo Horohoro

SERIKALI imetangaza operesheni kabambe ya kudhibiti bidhaa za magendo na biashara haramu katika mpaka wa Horohoro, Wilaya ya Mkinga mkoani…

Soma Zaidi »

Waziri wa Fedha atoa maagizo TRA

DAR ES SALAAM: Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar ameielekeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhakikisha inaongeza makusanyo ya…

Soma Zaidi »

TIPER yakabidhi gawio serikalini Sh Bil 15

RAIS wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan amepokeo gawio la Sh.bilioni 15 kutoka Kampuni ya Kuhifadhi Mafuta Tanzania (TIPER) ikiwa ni…

Soma Zaidi »

Watanzania wakuza uchumi mikopo ya Sh bil 700

DAR ES SALAAM: Maelfu ya Watanzania wameendelea kunufaika na huduma za mikopo zinazotolewa kwa kumiliki pikipiki, bajaji na simu janja…

Soma Zaidi »

TRA yasifu mwamko kwa walipa kodi

MTWARA: MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Mtwara imesema, kumekuwa na muamko  mkubwa kwa walipa kodi kulipa kodi kwa…

Soma Zaidi »

Watunga sera, watafiti kujadili mafaniko TRA kesho

DAR ES SALAAM: WATUNGA sera, watafiti, wataalamu wa kodi, wawakilishi wa sekta binafsi, walipa kodi na wadau mbalimbali wa maendeleo…

Soma Zaidi »

Wabunge wafagilia PSSSF, NSSF utekelezaji miradi

WABUNGE wamepongeza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kuendelea kupanua wigo wa huduma za hifadhi ya jamii…

Soma Zaidi »

Safari bajeti za maendeleo zilivyoibadili Tanzania

Katika kipindi cha miaka mitano, Serikali ilitenga zaidi ya Sh trilioni 228 kwenye bajeti zake huku Sh trilioni 76.3 zikielekezwa…

Soma Zaidi »

Kutoka ngurumo za jenereta madukani, hadi usikivu tulivu wa AC

Miaka mitano iliyopita, haikuwa jambo la ajabu kutembea katika mitaa ya Kariakoo jijini Dar es Salaam na kusikia ngurumo za…

Soma Zaidi »

Miaka mitano ya fursa mpya uchumi wa Tanzania

Rudisha  fikra nyuma kwa Tanzania ya mwaka 2021 yenye vijana waliokuwa wanajiuliza maswali kuhusu suala la ajira ziko wapi? Maswali…

Soma Zaidi »
Back to top button