Fedha

Benki ya TADB yapewa tuzo

DAR ES SALAAM; Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imetunukiwa Tuzo ya Benki Bora katika Kutoa Suluhisho za Ufadhili…

Soma Zaidi »

IMF yaipa tano TRA

DAR ES SALAAM: Ujumbe wa Shirika la Fedha Duniani (IMF) ukiongozwa na Thabo Letjama umekutana na kufanya mazungumzo na Menejimenti…

Soma Zaidi »

Mwigulu: Fedha za Marathon zilete tija kwa walengwa

DODOMA. Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba amezitaka wizara na taasisi zinazonufaika na fedha za NBC Marathon zihakikishe zinatumika kwa uwazi…

Soma Zaidi »

Benki yatumia parokia kama mawakala wa kimkakati

MAWAKALA 28 kati ya 1,957 wa Benki ya Biashara ya Mkombozi ni mawakala wa kimkakati waliopo katika maeneo maalumu ya…

Soma Zaidi »

Mikopo ya vijana yaonyesha matokeo

SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais  Maendeleo ya Vijana inaendelea kutekeleza Programu ya Mikopo ya shilingi bilioni 200 inayolenga kuwawezesha vijana…

Soma Zaidi »

Serikali yatangaza operesheni dhidi ya magendo Horohoro

SERIKALI imetangaza operesheni kabambe ya kudhibiti bidhaa za magendo na biashara haramu katika mpaka wa Horohoro, Wilaya ya Mkinga mkoani…

Soma Zaidi »

Waziri wa Fedha atoa maagizo TRA

DAR ES SALAAM: Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar ameielekeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhakikisha inaongeza makusanyo ya…

Soma Zaidi »

TIPER yakabidhi gawio serikalini Sh Bil 15

RAIS wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan amepokeo gawio la Sh.bilioni 15 kutoka Kampuni ya Kuhifadhi Mafuta Tanzania (TIPER) ikiwa ni…

Soma Zaidi »

Watanzania wakuza uchumi mikopo ya Sh bil 700

DAR ES SALAAM: Maelfu ya Watanzania wameendelea kunufaika na huduma za mikopo zinazotolewa kwa kumiliki pikipiki, bajaji na simu janja…

Soma Zaidi »

TRA yasifu mwamko kwa walipa kodi

MTWARA: MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Mtwara imesema, kumekuwa na muamko  mkubwa kwa walipa kodi kulipa kodi kwa…

Soma Zaidi »
Back to top button