Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Sh Milioni 120 zatengwa zawadi CRDB Marathon

DAR ES SALAAM:  BENKI ya CRDB imetenga zaidi ya Sh milioni 120 kwa washindi wa mbio za marathon zitakazofanyika Agosti…

Soma Zaidi »

Kamachumu Stars bingwa kombe la Mwijage

KAGERA: Timu ya Kamachumu Stars imeibuka bingwa wa mashindano ya Paul Mwijage Cup baada ya kuifunga Kanoni FC kwa bao…

Soma Zaidi »

VG Marathon 2027 kupigwa kilometa 21

DAR ES SALAAM: Mbio za VG Fun Run 2026 zimefanyika kwa shamrashamra na mwitikio mkubwa wa washiriki, huku mamia ya…

Soma Zaidi »

Watu 250+ kushiriki mbio za VG Fun Run kesho Dar

DAR ES SALAAM: ZAIDI ya washiriki 250 wanatarajiwa kujitokeza katika mbio za Victoria Group (VG) Fun Run 2026, zitakazofanyika kwa…

Soma Zaidi »

Bendera ya Taifa ilinipa nguvu Scotland

MUOGELEAJI wa Tanzania, Collins Saliboko, amesema kuona bendera ya Taifa ikipepea kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola kulimpa hamasa kubwa…

Soma Zaidi »

Mkwasa: Amani ni ushindi mkubwa kwa Watanzania

DAR ES SALAAM:  NYOTA wa zamani wa Yanga ya Dar es Salaam na timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’…

Soma Zaidi »

Watanzania wahimizwa kuchangamkia fursa AFCON 2027

DAR ES SALAAM; Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limetangaza fursa 12 zitakazotokana na Tanzania kuwa mwenyeji mwenza wa Mashindano…

Soma Zaidi »

Soka la Tanzania litajengwa watanzania

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia, amesema ukosoaji wenye nia njema ni sehemu muhimu ya maendeleo ya…

Soma Zaidi »

Kocha wa viwango kuja Tanzania kuinua waogeleaji

DAR ES SALAAM: Mkurugenzi wa Monti International School, Fatma Fernandez, amesema shule hiyo imeanzisha mpango maalumu wa kuimarisha mchezo wa…

Soma Zaidi »

OTFA yaishukuru serikali kwa sapoti

DAR ES SALAAM: Kituo cha soka cha One Tanzanite Football Academy (OTFA) imerejea nchini ikiwa na mafanikio makubwa baada ya…

Soma Zaidi »
Back to top button