Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Yanga wakitaka lao usilete mdomo!

KIGOMA;YANGA wakitaka lao usilete mdomo! Pengine ndivyo unavyoweza kuzungumzia matokeo ya mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara kati ya Mashujaa…

Soma Zaidi Β»

Chalamila atembelea kituo cha TFF Kigamboni

DAR ES SALAAM: MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema ujenzi wa kituo Uwanja Cha Shirikisho la…

Soma Zaidi Β»

Mkakati waiva kukuza vipaji UMITASHUMTA, UMISETA

IRINGA: SERIKALI imetangaza mkakati mpya wa kitaifa wa kutambua, kusajili na kufuatilia vipaji vinavyoibuliwa kupitia mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA,…

Soma Zaidi Β»

Malengo ya JKT Marathon yaleta mafanikio kwa jamii

DODOMA: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud amesema SUMA JKT Marathon imefanikiwa kufikia malengo yake…

Soma Zaidi Β»

Kinondoni yazindua hamasa kushangilia Serengeti Boys

DAR ES SAALAAM :MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule, amewahamasisha wakazi wa Tandale na Kinondoni kwa ujumla kujitokeza kwa…

Soma Zaidi Β»

Mafanikio Serengeti Boys yatinga bungeni

DODOMA; MBUNGE wa Bunda Mjini, Amos Bulaya muda huu anawasilisha hoja bungeni kuhusu Azimio la Bunge kuipongeza timu ya Taifa…

Soma Zaidi Β»

Manara ateuliwa msemaji timu za Taifa

DODOMA: WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amemteua Haji Manara kuwa msemaji wa timu zote za Taifa…

Soma Zaidi Β»

Umemtambua straika wa boli?

DAR ES SALAAM; Huyo wa mbele kabisa kulia ni miongoni mwa vipaji vikubwa katika safu ya ushambuliaji Tanzania aliyeng’ara na…

Soma Zaidi Β»

Rafiki wa Binti waweka nguvu Afya ya Hedhi

PWANI; MPANGO wa Rafiki wa Binti umezindua wimbo maalumu wa Β kielimu wa Afya ya Hedhi ikiwa ni kuelekea Maadhimisho ya…

Soma Zaidi Β»

Ayoub atoa Sh milioni 21 kuimarisha michezo Unguja

ZANZIBAR: Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ayoub Mohammed Mahmoud, ametoa mchango wa Sh milioni 21 kwa Chama…

Soma Zaidi Β»
Back to top button