Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Washiriki 2,000 watarajiwa kushiriki Dar Night Run 2026

DAR ES SALAAM: ZAIDI ya watu 2,000 wanatarajiwa kushiriki mbio za Dar Night Run 2026 zilizoandaliwa na The Runners Club…

Soma Zaidi »

‘Kisa cha Mpemba’ kilitokea Tabata

MSANII wa muziki wa dansi kutoka Twanga Pepeta, Luizer Nyoni maarufu kama Luizer Mbutu amesema wimbo maarufu wa Kisa cha…

Soma Zaidi »

Mungu ndiye nguvu ya mafanikio

MSANII wa muziki wa dansi kutoka Twanga Pepeta, Luizer Nyoni Mbutu, amesema hofu ya Mungu na kuongozwa na mafundisho ya…

Soma Zaidi »

Singida BS yachomoza mbele ya Yanga, Simba

DAR ES SALAAM. RAUNDI ya kwanza ya Ligi Kuu Bara imemalizika, huku Singida Black Stars ikiibuka kinara baada ya kuanza…

Soma Zaidi »

Dar City, Mlimani zang’ara kikapu Dar

DAR ES SALAAM. TIMU ya Dar City imeendeleza ushindani katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam baada ya…

Soma Zaidi »

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa zabuni AFCON

DAR ES SALAAM; Kampuni, taasisi, watoa huduma wenye uwezo na sifa stahiki wa Tanzania wamehimizwa kuchangamkia fursa mbalimbali za zabuni…

Soma Zaidi »

ABC yaiduwaza Savio kikapu Dar

DAR ES SALAAM; ABC imepata ushindi wa pointi 68-65 dhidi ya Savio katika mchezo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa…

Soma Zaidi »

TASWA yaja na AFCON Kitaa 2027

DAR ES SALAAM;  Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), kimeandaa kampeni maalumu ijulikanayo kama ‘AFCON Kitaa 2027’,…

Soma Zaidi »

Twende Butiama sasa ni Nyerere Cycling Tour

DAR ES SALAAM: Msafara wa baiskeli wa Twende Butiama umepewa jina jipya la Nyerere Cycling Tour, katika hatua inayolenga kuenzi…

Soma Zaidi »

Trey Songz kutua Dar kesho

DAR ES SALAAM: Mwimbaji maarufu wa Marekani, Trey Songz, anatarajiwa kuwasili Tanzania kesho, Agosti 12, 2026  kutumbuiza katika tamasha la…

Soma Zaidi »
Back to top button