Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

T9 yatangaza fursa za AFCON 2027

WAFANYABIASHARA nchini wametakiwa kuanza  kujiandaa kunufaika na fursa za kiuchumi zitakazotokana na Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 itakayofanyika…

Soma Zaidi »

Timu ya Judo watakiwa kurudi na medali

SERIKALI imewataka wachezaji wa timu ya taifa ya judo kupambana kwa nguvu zote katika Michezo ya Jumuiya ya Madola ili…

Soma Zaidi »

Mtanzania ang’ara mbio za magari Rwanda

RWANDA; Dereva wa mbio za magari kutoka Tanzania, Ahmed Huwel, ameshika nafasi ya pili katika mashindano ya Rwanda Mountain Gorilla…

Soma Zaidi »

Ikungi yang’ara Great Ruaha Marathon 2026

IRINGA: Paulo Damian na Tunu Andrea wote wa Ikungi mkoani Singida wameibuka mabingwa wa mbio za kilomita 21 za Great…

Soma Zaidi »

Shangwe la ubingwa Yanga

DAR ES SALAAM; SHANGWE la ubingwa. Yanga wakishangilia baada ya kukabidhiwa kombe la ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu…

Soma Zaidi »

Mwanza yang’ara UMISETA 2026, yatwaa ubingwa wa jumla

MWANZA: MKOA wa Mwanza umeandika historia mpya baada ya kutwaa ubingwa wa jumla wa Mashindano ya Umoja wa Michezo na…

Soma Zaidi »

Wanariadha kukutana Kibaha mashindano ya taifa

ARUSHA: JUMLA ya wanariadha 650 kutoka Tanzania Bara na Visiwani wanatarajiwa kukutana kwa siku mbili, Julai 3 na 4 mwaka…

Soma Zaidi »

TRA yawaita walipakodi kushiriki mbio za shukrani

DODOMA: MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewataka walipakodi na wananchi wote kujitokeza kwa wingi kushiriki katika matembezi na Mbio za…

Soma Zaidi »

Mashindano Kombe la CDF 2026 kuanza Julai 6 Dar

DAR ES SALAAM: MASHINDANO ya Kombe la Mkuu wa Majeshi (CDF 2026) awamu ya nane yanatarajiwa kuanza Julai 6, mwaka…

Soma Zaidi »

Yanga yavuliwa ubingwa Mwanza

MWANZA; Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB 2026/27 ni kati ya Simba na Azam FC, baada ya Azam FC…

Soma Zaidi »
Back to top button