Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Makongoro aibuka mshindi safari ya Kombe la Dunia

DAR ES SALAAM:MAKONGORO Nyerere, mtoto wa Baba wa Taifa Julius Nyerere, ameingia katika orodha ya washindi watatu wa droo ya…

Soma Zaidi »

DSTV yajipanga Kombe la Dunia

DAR ES SALAAM: FAINALI za Kombe la Dunia 2026 zinatarajiwa kuvunja rekodi mpya duniani baada ya idadi ya timu kuongezeka…

Soma Zaidi »

Mashabiki wakutanishwa Liverpool, Chelsea

DAR ES SALAAM: BENKI ya Standard Chartered Tanzania imeandaa tukio maalumu la pamoja la kuonesha moja kwa moja mchezo mkubwa…

Soma Zaidi »

Kocha wa Yanga SC, Goncalves atimuliwa

DAR ES SALAAM: Uongozi wa klabu ya Yanga umetangaza kumfuta kazi kocha mkuu wa timu hiyo, Pedro Goncalves kuanzia leo…

Soma Zaidi »

Wizara ya habari yaomba kuidhinishwa bil 525.3/-

DODOMA: WIZARA ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, imeliomba bunge kuidhinisha bajeti ya Sh bilioni 525.3 kwa ajili ya matumizi…

Soma Zaidi »

Wizara yaweka lengo Sh bil 1/- mapato 2026/27

DODOMA: WIZARA ya Habari Sanaa na Utamaduni inakusudia kukusanya Sh bilioni 1 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kutoka katika vyanzo…

Soma Zaidi »

Mapato Wizara ya Habari yafikia Sh mil 699 Aprili 2026

DODOMA: SERIKALI imesema hadi kufikia mwezi Aprili 2026 Sh milioni 699 sawa na asilimia 67.5 zilikusanywa kutoka katika vyanzo mbalimbali…

Soma Zaidi »

Makala 172 TSN zapaisha utalii

DAR ES SALAAM: Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) imeendelea kutekeleza maono ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan, kwa kuimarisha…

Soma Zaidi »

TSN kuongeza uelewa wa Umma AFCON 2027

DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya Magazeti ya Serikali (TSN) imepanga kuandaa na kuchapisha makala maalumu zitakazolenga kuhabarisha umma kuhusu michuano…

Soma Zaidi »

Ile jioni ya mechi ndo hiyooo mnune!

DAR ES SALAAM; MECHI ya Simba dhidi ya Yanga Ligi Kuu Tanzania Bara itachezwa Jumapili Mei 3, 2026 kuanzia saa…

Soma Zaidi »
Back to top button