Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Ngajilo aja na mpango wa kuirudisha Iringa Ligi Kuu

IRINGA: Miaka sita tangu Lipuli FC ilipoaga Ligi Kuu Tanzania Bara mwishoni mwa msimu wa 2019/20, Mkoa wa Iringa unaonekana…

Soma Zaidi »

Watoto wenye mahitaji maalumu wafundishwa kuzuia kuzama

DAR ES SALAAM: WATOTO wenye mahitaji maalum wamepewa kipaumbele katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Kuzama Maji, kupitia…

Soma Zaidi »

Mwigulu: Fedha za Marathon zilete tija kwa walengwa

DODOMA. Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba amezitaka wizara na taasisi zinazonufaika na fedha za NBC Marathon zihakikishe zinatumika kwa uwazi…

Soma Zaidi »

Mtambo wa mabao huu hapa Msimbazi

DAR ES SALAAM: Simba SC wametanga kumnasa mshambuliaji, Ibrahim Doumbia kutoka QS Korofina ya Mali kwa mkataba wa miaka miwili.…

Soma Zaidi »

 Wasanii 19 kutumbuiza FuTopia Zanzibar

ZANZIBAR: WASANII na vikundi 19 kutoka Tanzania, Afrika Kusini, Burundi, Mexico, Chile na Canada wanatarajiwa kupanda jukwaani katika msimu wa…

Soma Zaidi »

Watengeneza maudhui kupata msukumo mpya serikalini

DAR ES SALAAM: Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa,…

Soma Zaidi »

Serikali yaombwa kuimarisha uhusiano taasisi za vijana

DAR ES SALAAM: Serikali imetakiwa kuimarisha ushirikiano na taasisi zinazoongozwa na vijana ili kuongeza fursa za ajira, kukuza vipaji vya…

Soma Zaidi »

T9 yatangaza fursa za AFCON 2027

WAFANYABIASHARA nchini wametakiwa kuanza  kujiandaa kunufaika na fursa za kiuchumi zitakazotokana na Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 itakayofanyika…

Soma Zaidi »

Timu ya Judo watakiwa kurudi na medali

SERIKALI imewataka wachezaji wa timu ya taifa ya judo kupambana kwa nguvu zote katika Michezo ya Jumuiya ya Madola ili…

Soma Zaidi »

Mtanzania ang’ara mbio za magari Rwanda

RWANDA; Dereva wa mbio za magari kutoka Tanzania, Ahmed Huwel, ameshika nafasi ya pili katika mashindano ya Rwanda Mountain Gorilla…

Soma Zaidi »
Back to top button