Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Wazee wajitosa kushiriki mashindano ‘West Kill Forest’

KILIMANJARO: WANAMICHEZO na wapenzi wa utalii ikolojia zaidi ya 350 wakiwemo wazee wenye umri mkubwa wamejitokeza kujisajili ili kushiriki mashindano…

Soma Zaidi »

Rais Samia aipongeza Simba kutwaa ubingwa

ZANZIBAR; RAIS wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan, ameipongeza klabu ya Simba kwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Muungano baada…

Soma Zaidi »

Simba ilivyoivua ubingwa Yanga

ZANZIBAR; SIMBA jana iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga katika mchezo wa fainali ya Kombe la Muungano…

Soma Zaidi »

Wakimbiaji zaidi ya 1,200 kushiriki Mbio kubwa za Ruaha

IRINGA: Zaidi ya wakimbiaji 1,200 kutoka ndani na nje ya nchi wanatarajiwa kushiriki Great Ruaha Marathon Season Five itakayofanyika Julai…

Soma Zaidi »

Rushwa yatajwa michezoni

DAR ES SALAAM: VITENDO vya rushwa vimetajwa kuwa miongoni mwa changamoto kubwa zinazoathiri maendeleo ya michezo nchini, hasa katika maeneo…

Soma Zaidi »

Watanzania wang’aa mbio za Tanfoam

ARUSHA: WANARIADHA kutoka Tanzania wamefanikiwa kung’ara katika mashindano ya kimataifa ya mbio ndefu za Tanfoam baada ya kumaliza washindi kwa…

Soma Zaidi »

DStv, SuperSport Kurusha ‘Live’ Mechi Zote 104 za Kombe la Dunia 2026

DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya matangazo ya michezo ya SuperSport kwa kushirikiana na DStv imetangaza kuwa itarusha mubashara mechi zote…

Soma Zaidi »

Mwigulu ataka uwanja wa AFCON 2027 ukamilike kwa wakati

WAZIRI MKUU, Dk Mwigulu Nchemba, amemwagiza mkandarasi anayejenga uwanja wa Mashindano ya Mataifa ya Afrika(AFCON)2027 ahakikishe mradi huo unakamilika kwa…

Soma Zaidi »

Mbio kubwa za Ruaha kuanza Julai 4

DAR ES SALAAM: Kadri siku zinavyosogea kuelekea mwezi Julai, macho ya Watanzania na dunia yanaelekezwa Hifadhi ya Taifa ya Ruaha…

Soma Zaidi »

Mwasyoge: Michezo ni nguzo ya kuimarisha amani

MWENYEKITI wa Chama cha Kuogelea Tanzania (TSA), David Mwasyoge, amesema michezo ina nafasi kubwa katika kuimarisha amani, umoja na mshikamano…

Soma Zaidi »
Back to top button