Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Mwigulu ataka uwanja wa AFCON 2027 ukamilike kwa wakati

WAZIRI MKUU, Dk Mwigulu Nchemba, amemwagiza mkandarasi anayejenga uwanja wa Mashindano ya Mataifa ya Afrika(AFCON)2027 ahakikishe mradi huo unakamilika kwa…

Soma Zaidi »

Mbio kubwa za Ruaha kuanza Julai 4

DAR ES SALAAM: Kadri siku zinavyosogea kuelekea mwezi Julai, macho ya Watanzania na dunia yanaelekezwa Hifadhi ya Taifa ya Ruaha…

Soma Zaidi »

Mwasyoge: Michezo ni nguzo ya kuimarisha amani

MWENYEKITI wa Chama cha Kuogelea Tanzania (TSA), David Mwasyoge, amesema michezo ina nafasi kubwa katika kuimarisha amani, umoja na mshikamano…

Soma Zaidi »

Hans Rafael: Yanga SC ni imara licha ya majeruhi

DAR ES SALAAM: LICHA ya Yanga SC kuwa na baadhi ya wachezaji majeruhi, ila mchambuzi maarufu wa michezo, Ansibert Rafael…

Soma Zaidi »

Hans Rafael atoa tathmini ubora wa Simba SC

DAR ES SALAAM: MCHAMBUZI maarufu wa Michezo nchini, Ansibert Rafael ‘Hans Rafael’ ametoa tathmini yake kuhusu Simba SC kushindwa kurudisha…

Soma Zaidi »

Rasmi Afcon 2027 kuanza Juni 19

MICHUANO ya Kombe la Mataifa ya Afri ka (AFCON 2027) inatarajiwa kuanza Juni 19 na kumalizika Julai 18, mwakani. Shirikisho…

Soma Zaidi »

Wadau wakutana kujadili mkakati AFCON 2027

DAR ES SALAAM — Wadau kutoka taasisi mbalimbali za serikali na sekta binafsi wamekutana kujadili Mkakati wa Kitaifa wa maandalizi…

Soma Zaidi »

Taifa litapata vipaji Mac D marathon – Ngoka

DAR ES SALAAM: Mwenyekiti wa Chama cha Riadha Mkoa wa Dar es Salaam (DAA),  Amani Ngoka amesema kupitia mbio za…

Soma Zaidi »

KIbadeni awahimiza vijana kulinda amani

MCHEZAJI wa zamani wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na Klabu ya Simba, Abdallah Kibadeni ‘Mputa’, amewataka vijana…

Soma Zaidi »

Serengeti Girls inalitaka Kombe la Dunia

MONASTIR: TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake chini ya umri wa miaka 17 (Serengeti Girls), imemaliza kambi yake ya…

Soma Zaidi »
Back to top button