Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Ligi ya vijana Arumeru kuendelea kesho

ARUSHA: MZUNGUKO wa pili wa ligi ya vijana wenye umri chini ya miaka 11-13 wilayani Arumeru mkoani Arusha unaendelea kesho…

Soma Zaidi »

Kwahani FC mabingwa Masauni Cup

ZANZIBAR: Timu ya Kwahani FC imetwaa ubingwa wa Masauni Cup baada ya kuichapa Mwembeladu FC kwa changamoto ya mikwaju ya…

Soma Zaidi »

Makonda aonya viongozi wa michezo wasiowajibika

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amewaonya viongozi wa mashirikisho ya michezo nchini wanaoshindwa…

Soma Zaidi »

Kazi zenye staha zajadiliwa Morogoro

WAKATI sekta ya sanaa na ubunifu ikiendelea kukua kwa kasi na kutoa ajira kwa maelfu ya vijana nchini, wadau wameonya…

Soma Zaidi »

Sydney Carter: Kocha anayevunja mipaka uwanjani

SYDNEY Carter ni mmoja wa wanawake waliotengeneza jina kubwa katika ulimwengu wa mpira wa kikapu, si tu kama mchezaji bali…

Soma Zaidi »

Vijana, watoto watakiwa kwenye michezo

SHINYANGA: WANANCHI wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga wameaswa kuwapa nafasi vijana na watoto kushiriki michezo kwani kufanya…

Soma Zaidi »

City, Madrid wamekutana tena bwana!

DAR ES SALAAM: Ndoa ya Manchester City na Real Madrid imeendelea kudumu kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada…

Soma Zaidi »

Chelsea yapewa PSG Uefa

DAR ES SALAAM: Droo inaonesha PSG wataanza nyumbani dhidi ya Chelsea katika hatua ya 16 ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.…

Soma Zaidi »

Arsenal yapangiwa Leverkusen

DAR ES SALAAM: Arsenal imepangwa kuanza ugenini dhidi ya Bayer Leverkusen katika hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa…

Soma Zaidi »

Dar City yapagwa na vigogo Afrika

DAR ES SAALAM: Hatimaye Basketball Africa League (BAL) imetangaza rasmi makundi mawili yatakayounda hatua ya awali ya msimu wa mwaka…

Soma Zaidi »
Back to top button