Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Mapato Wizara ya Habari yafikia Sh mil 699 Aprili 2026

DODOMA: SERIKALI imesema hadi kufikia mwezi Aprili 2026 Sh milioni 699 sawa na asilimia 67.5 zilikusanywa kutoka katika vyanzo mbalimbali…

Soma Zaidi ยป

Makala 172 TSN zapaisha utalii

DAR ES SALAAM: Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) imeendelea kutekeleza maono ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan, kwa kuimarisha…

Soma Zaidi ยป

TSN kuongeza uelewa wa Umma AFCON 2027

DAR ES SALAAM: KAMPUNI ya Magazeti ya Serikali (TSN) imepanga kuandaa na kuchapisha makala maalumu zitakazolenga kuhabarisha umma kuhusu michuano…

Soma Zaidi ยป

Ile jioni ya mechi ndo hiyooo mnune!

DAR ES SALAAM; MECHI ya Simba dhidi ya Yanga Ligi Kuu Tanzania Bara itachezwa Jumapili Mei 3, 2026 kuanzia saa…

Soma Zaidi ยป

Wazee wajitosa kushiriki mashindano ‘West Kill Forest’

KILIMANJARO: WANAMICHEZO na wapenzi wa utalii ikolojia zaidi ya 350 wakiwemo wazee wenye umri mkubwa wamejitokeza kujisajili ili kushiriki mashindano…

Soma Zaidi ยป

Rais Samia aipongeza Simba kutwaa ubingwa

ZANZIBAR; RAIS wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan, ameipongeza klabu ya Simba kwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Muungano baada…

Soma Zaidi ยป

Simba ilivyoivua ubingwa Yanga

ZANZIBAR; SIMBA jana iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga katika mchezo wa fainali ya Kombe la Muungano…

Soma Zaidi ยป

Wakimbiaji zaidi ya 1,200 kushiriki Mbio kubwa za Ruaha

IRINGA: Zaidi ya wakimbiaji 1,200 kutoka ndani na nje ya nchi wanatarajiwa kushiriki Great Ruaha Marathon Season Five itakayofanyika Julai…

Soma Zaidi ยป

Rushwa yatajwa michezoni

DAR ES SALAAM: VITENDO vya rushwa vimetajwa kuwa miongoni mwa changamoto kubwa zinazoathiri maendeleo ya michezo nchini, hasa katika maeneo…

Soma Zaidi ยป

Watanzania wang’aa mbio za Tanfoam

ARUSHA: WANARIADHA kutoka Tanzania wamefanikiwa kung’ara katika mashindano ya kimataifa ya mbio ndefu za Tanfoam baada ya kumaliza washindi kwa…

Soma Zaidi ยป
Back to top button