Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Gyokeres ameanza kuwaliza

ENGLAND: Mabao mawili aliyofunga dhidi ya ‘Spurs’ yanamfanya mshambuliaji wa Arsenal, Viktor Gyokeres kuwa wenye mabao mengi kuliko mchezaji yoyote…

Soma Zaidi »

‘Navutiwa na dini ya kiislam’

MSANII wa filamu nchini, Jacqueline Wolper, amezua mjadala mpana mitandaoni baada ya kuweka wazi hisia zake kuhusu dini ya Kiislamu…

Soma Zaidi »

TRA United yapata bodi ya usimamizi

DAR ES SALAAM: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Juma Mwenda leo amezindua Bodi ya Usimamizi wa…

Soma Zaidi »

Mpira unaumiza jamani daah!

ZANZIBAR; MPIRA UNAUMIZA, lakini mpira pia unakera. Pengine ndivyo unavyoweza kuzungumzia matokeo ya mchezo wa mwisho hatua ya makundi Ligi…

Soma Zaidi »

Azam yakwama na pointi tisa

MOROCCO; AZAM imemaliza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa na pointi tisa, lakini imekwama kutinga robo fainali.…

Soma Zaidi »

Yanga inaongoza 1-0 ngoma mapumziko

ZANZIBAR;  NI mapumziko mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi Uwanja wa New Amaan Complex kati ya Yanga…

Soma Zaidi »

Thomas Partey mengine tena!

HISPANIA: Kiungo wa zamani Arsenal, Thomas Partey, amefunguliwa mashtaka mawili ya ziada ya ubakaji yanayohusiana na madai ya tukio la…

Soma Zaidi »

Rais wa CAF awasili Tanzania

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Dk Patrice Motsepe, amewasili nchini asubuhi hi kwa ajili ya Mkutano…

Soma Zaidi »

Bella, El Saadat, Twanga Pepeta kukiwasha Valentine Day

DAR ES SALAAM: MASHABIKI wa muziki wa dansi nchini wanatarajia kushuhudia onesho kubwa la kihistoria itakayofanyika jijini Dar es Salaam,…

Soma Zaidi »

Tukubali mwaka huu tuliteleza -Ahmed

“Tukubali kiroho safi kwamba mwaka huu tuliteleza, tukishafungua nafsi maana yake kila Mwanasimba tarehe 14 atakuja uwanjani kiroho safi,” anasema…

Soma Zaidi »
Back to top button