Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Mtanzania ang’ara mbio za magari Rwanda

RWANDA; Dereva wa mbio za magari kutoka Tanzania, Ahmed Huwel, ameshika nafasi ya pili katika mashindano ya Rwanda Mountain Gorilla…

Soma Zaidi Β»

Ikungi yang’ara Great Ruaha Marathon 2026

IRINGA: Paulo Damian na Tunu Andrea wote wa Ikungi mkoani Singida wameibuka mabingwa wa mbio za kilomita 21 za Great…

Soma Zaidi Β»

Shangwe la ubingwa Yanga

DAR ES SALAAM; SHANGWE la ubingwa. Yanga wakishangilia baada ya kukabidhiwa kombe la ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu…

Soma Zaidi Β»

Mwanza yang’ara UMISETA 2026, yatwaa ubingwa wa jumla

MWANZA: MKOA wa Mwanza umeandika historia mpya baada ya kutwaa ubingwa wa jumla wa Mashindano ya Umoja wa Michezo na…

Soma Zaidi Β»

Wanariadha kukutana Kibaha mashindano ya taifa

ARUSHA: JUMLA ya wanariadha 650 kutoka Tanzania Bara na Visiwani wanatarajiwa kukutana kwa siku mbili, Julai 3 na 4 mwaka…

Soma Zaidi Β»

TRA yawaita walipakodi kushiriki mbio za shukrani

DODOMA: MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imewataka walipakodi na wananchi wote kujitokeza kwa wingi kushiriki katika matembezi na Mbio za…

Soma Zaidi Β»

Mashindano Kombe la CDF 2026 kuanza Julai 6 Dar

DAR ES SALAAM: MASHINDANO ya Kombe la Mkuu wa Majeshi (CDF 2026) awamu ya nane yanatarajiwa kuanza Julai 6, mwaka…

Soma Zaidi Β»

Yanga yavuliwa ubingwa Mwanza

MWANZA; Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB 2026/27 ni kati ya Simba na Azam FC, baada ya Azam FC…

Soma Zaidi Β»

Mbio za TCB Selous kuchochea utalii Moro

MOROGORO: NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, amesema TCB Selous Marathon iliyofanyika kwa msimu wa saba…

Soma Zaidi Β»

Simba yatangulia fainali kibabe

ARUSHA;Simba ya Dar es Salaam imetinga kibabe fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB, baada ya kuitandika Coastal Union ya…

Soma Zaidi Β»
Back to top button