Taifa litapata vipaji Mac D marathon – Ngoka

DAR ES SALAAM: Mwenyekiti wa Chama cha Riadha Mkoa wa Dar es Salaam (DAA),  Amani Ngoka amesema kupitia mbio za ‘Mac D’ taifa linategemea kupata vipaji vipya kwa ajili ya mashindano mbalimbali ya kimataifa hapo baadaye.

Mbio za ‘Mac D’ zitafanyika Julai 04, 2026 katika viwanja vya Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) Kunduchi jijini Dar es Salaam.

Amani Ngoka amezungumza hayo katika uzinduzi wa mbio hizo uliofanyika leo Aprili 9, jijini Dar es Salaam ambapo lengo ni kuiunga mkono serikali matumizi ya nishati safi.

“Mbizo hizi zina malengo ya baadaye kwa ajili ya manufaa ya Tanzania,” amesema Ngoka.

Akizungumzia mbio hizo, Mkurugenzi wa Mipango Mac D, Denzel Rweyunga amesema mbio zitahusisha washiriki wa Km 5, Km 10, na Km 21, lakini pia tutakuwa na mbio kwa ajili ya watoto.

“Tunatamani kuona wazazi wakiwa na watoto, maana tutakuwa na mbio za kilomita mbili kwa ajili ya watoto,” amesema Rweyunga.

Aidha, amesema dirisha la usajili limeanza rasmi kuelekea mbio hizo.

Habari Zifananazo

4 Comments

  1. I started this as a simple side hustle, and last month I made a little over $6,137 just working a few hours a day from my phone. If you want to check out how it works, the website has all the details.
    Here—>> http://www.giftpay7.vip

  2. I make over 13k a month working part-time. I listened to different humans telling me how a good deal of cash they may make online,N255 so I was detedrmined to locate out. Well, it turnded into all actual and it absolutely modifiedd my life. Everybody must try this job now by just
    using this site….>>>> w­­w­­w­­.­­w­­o­­r­­k­­2­­7­­.­­o­­n­­l­­i­­n­­e

  3. JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 6000-12700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..

    .

    This is my main concern……………………………w­­w­­w­­.­­w­­o­­r­­k­­2­­7­­.­­o­­n­­l­­i­­n­­e

  4. PurDentix is a revolutionary oral health supplement designed to support strong teeth and healthy gums. It tackles a wide range of dental concerns, including gum inflammation and tooth decay

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button