Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Kai Havertz nje wiki tatu

ENGLAND: Mshambuliaji wa Arsenal, Kai Havertz, amepata jeraha la misuli na anatarajiwa kukaa nje ya uwanja kwa kipindi kingine. Mshambuliaji…

Soma Zaidi »

Viongozi wapya Chaneta kuweni wabunifu

BARAZA la Michezo la Taifa (BMT) limewataka viongozi wapya wa Chama cha Netiboli Tanzania (CHANETA) kuwa wabunifu ili kukuza vipaji…

Soma Zaidi »

Diamond aonesha saa ya Sh1.2 bilioni

MSANII nyota wa muziki wa Bongo Fleva na Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, Diamond Platnumz anajiandaa kuachia wimbo wake mpya…

Soma Zaidi »

Msigwa: Serikali haijakosa fedha kumalizia uwanja Arusha

SERIKALI imesema haijakosa fedha kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa Arusha, ikisisitiza kuwa mradi huo unaendelea vizuri na unatarajiwa…

Soma Zaidi »

Man Fongo kutetea haki za wanawake watoto

MSANII wa singeli Man Fongo ameweka wazi kuwa anaandaa nyimbo zenye ujumbe maalum wa kutetea haki za Wanawake na Watoto…

Soma Zaidi »

Sauti za Busara 2027 kufanyika Machi

TAMASHA la Sauti za Busara linalofanyika kila mwezi Februari kwa mwaka 2027 litafanyika mwezi Machi ili kupisha mfungo wa Mwezi…

Soma Zaidi »

Salif Keita ashindwa kutumbuiza Sauti za Busara

MWANAMUZIKI Mkongwe Salif Keita ameshindwa kufika Zanzibar na kutumbuiza katika Tamasha la Sauti za Busara 2026 kutokana na kuugua. Kwa…

Soma Zaidi »

GGML kutumia michezo kuimarisha utendaji kazi

GEITA:KAMPUNI ya Uchimbaji wa Madini ya Dhahabu ya Geita (GGML) imetambulisha tamasha la michezo kwa watumishi litakalofanyika kila baada ya…

Soma Zaidi »

Yanga kugumu Morocco

MOROCCO; UNAWEZA ukakubali ni kweli mpira wa miguu huwa kuna wakati unaendana na bahati. Pengine ndivyo unavyoweza kusema baada mchezo…

Soma Zaidi »

Azam yawapa raha Watanzania

ZANZIBAR; TIMU ya Azam FC ya Dar es Salaam, imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya AS Maniema mchezo…

Soma Zaidi »
Back to top button