Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Simba yaduwaza Waangola

ANGOLA; IKICHEZA pungufu karibu dakika 50 za mchezo baada ya beki Shomari Kapombe kuoneshwa kadi nyekundu dakika za mwishoni mwa…

Soma Zaidi »

Fountain Gate kuendeleza heshima ya soka Arusha

ARUSHA: UONGOZI wa timu ya Fountain Gate FC umeeleza kuendeleza heshima ya soka mkoani Arusha kama ilivyokuwa miaka ya nyuma…

Soma Zaidi »

Balozi Omar aitaka GBT kudhibiti madhara katika jamii

WAZIRI wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omar ameitaka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini (Gaming Board of Tanzania) kuhakikisha inasimamia…

Soma Zaidi »

Mwigulu:Mafanikio AFCON yameitambulisha zaidi Tanzania

DODOMA; WAZIRI Mkuu Dk Mwigulu Nchemba, ameipongeza timu ya Taifa ya mpira wa miguu ya Tanzania (Taifa Stars) kwa kufikia…

Soma Zaidi »

BMT kuzifanyia tathimini kamati za mikoa 12

DAR ES SALAAM. BARAZA la Michezo la Taifa (BMT) linategemea katika robo ya tatu ya mwaka huu wa fedha kutembelea…

Soma Zaidi »

Serikali kujenga Akademi za Michezo kikanda

DODOMA; SERIKALI imesema inaendelea na ujenzi wa Akademia ya Michezo yenye hadhi ya kimataifa Malya, wilayani Kwimba Mkoa wa Mwanza…

Soma Zaidi »

Nyota 30 waitwa Twiga Stars maandalizi WAFCON

KIKOSI cha awali cha wachezaji 30 wa timu ya taifa ya wanawake kwa ajili ya fainali za Kombe la Mataifa…

Soma Zaidi »

Simba kapoteza tena huko

TUNISIA; MAUMIVU kwa mashabiki wa Simba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika yanaendelea msimu huu wa mwaka 2025/25, baada ya leo…

Soma Zaidi »

Nyota Yanga wamkosha Pedro

DAR ES SALAAM: KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves, amekoshwa na kiwango kilichooneshwa na wachezaji wake akisema wataendelea kupambana kushinda…

Soma Zaidi »

‘Simba tumpe ushirikiano Kibabage’

DAR ES SALAAM: MSEMAJI wa Klabu ya Simba SC, Ahmed Ally, amewaomba mashabiki wa klabu hiyo kumpokea na kumpa ushirikiano…

Soma Zaidi »
Back to top button