Timu ya tenesi walemavu yaomba Mil 40

TIMU ya Taifa ya wachezaji wa tenesi kwa watu wenye ulemavu (Wheelchair Tennis) imeomba msaada wa Shilingi milioni 40 ili kufanikisha safari ya kushiriki mashindano ya kimataifa yatakayofanyika nchini Morocco kuanzia Machi 30 hadi Aprili 3, 2026.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Kocha wa timu hiyo ambaye pia ni Katibu Riziki Salumu, amesema timu imejiandaa kikamilifu kushiriki mashindano hayo muhimu. Amesema jumla ya watu 10 wanatarajiwa kusafiri, wakiwemo wachezaji wanane, kiongozi mmoja pamoja na msaidizi wake.
Ameongeza kuwa ushiriki wao utasaidia kuitangaza Tanzania kimataifa na kuwapa wachezaji fursa ya kupata ufadhili endapo watafanya vizuri. Salumu amesema gharama za safari hiyo ni Shilingi milioni 50, ambapo hadi sasa wamefanikiwa kukusanya Shilingi milioni 17, hivyo bado wanahitaji Shilingi milioni 40 ili kukamilisha maandalizi.
Kwa upande wake, nahodha wa timu hiyo, Vosta Isaya, amewaomba wadau, mashirika pamoja na Serikali kujitokeza kuisaidia timu hiyo ili iweze kushiriki mashindano hayo muhimu. Mchezaji wa timu hiyo, Pendo James, amesema maandalizi yalianza tangu Januari mwaka huu, huku akieleza kuwa mashindano hayo yamesogezwa mbele kutokana na mwezi wa Ramadhani.
Aidha, Jumanne Nasoro amesema mwaka jana timu ya wanawake ilipata udhamini na kushiriki mashindano hayo, lakini timu ya wanaume haikufanikiwa, hivyo mwaka huu wana matumaini makubwa ya kupata msaada. SOMA: Tennis yaipamba Hifadhi ya Serengeti
Wachezaji hao wamesisitiza kuwa kushindwa kushiriki mashindano hayo kunaweza kusababisha adhabu ya kutojumuishwa katika mashindano yajayo, wakibainisha kuwa michezo ni ajira na chanzo cha kipato hivyo wanahitaji kuungwa mkono ili kufanikisha ndoto zao.




I earned $17,932 last month by working online for just 2 hours a day. This job is simple, flexible, and beginner-friendly,S1 making it accessible to everyone. It has helped me manage my finances effortlessly while focusing on my education as a full-time student.
You can click on this the website and begin
right away….www.work27.online
JOIN US Everybody can earn 250/h Dollar + daily 1K… You can earn from 12000-16700 Dollar a month or even more if you work as a part time job…It’s easy, just follow instructions on this page, read it carefully from start to finish… It’s a flexible job but a good earning opportunity. tab for more detail thank you……..
.
This is my main concern…………………… http://Www.Cash54.Com
I just came across this amazing way to earn $11,000-$15,000 a month online! No selling, no struggle—just a simple system that anyone can follow. Mia Westbrook did it, and so can you! Don’t miss out on this life-changing opportunity.
.
This is what I do…………………… http://Www.Payathome9.Com
I get paid over $220 per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. the potential with this is endless…,
This is what I do….. http://www.giftpay7.vip