Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Naibu Meya Kigamboni afagilia vipaji masumbwi

DAR ES SALAAM; NAIBU Meya wa Manispaa ya Kigamboni, Elizabeth Kimambo amefurahishwa na wadau walioandaa mapambano ya ngumi na kusema…

Soma Zaidi »

Simba wanapitia magumu nyie!

DAR ES SALAAM; SARE ya bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar mchezo wa Ligi Kuu Tanzania jana Janauri 18, 2026,…

Soma Zaidi »

Salamu za Samia zatua kwa Rais wa CAF

MOROCCO; Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul  Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika…

Soma Zaidi »

Makonda awasili Morocco

MOROCCO; Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amewasili nchini Morocco kwa ziara maalumU ya kikazi akiwa na…

Soma Zaidi »

Dk. Mwinyi Azindua Uwanja wa Gombani

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepata…

Soma Zaidi »

Yanga yamtambulisha Depu

KLABU ya Yanga imemtambulisha rasmi mshambuliaji mpya Laurindo Dilson Maria Aurélio maarufu kama Depu, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha kikosi…

Soma Zaidi »

Ulipo Tupo FC bingwa CRDB Super Cup

ARUSHA: Ubora, mshikamano na kiu ya ushindi ndivyo vilivyoibeba timu ya Ulipo Tupo Lake Zone mpaka kutwaa ubingwa wa soka…

Soma Zaidi »

Matuta yaipeleka Morocco fainali

MOROCCO; Morocco imetinga fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon 2025) baada ya kuitoa Nigeria katika mchezo…

Soma Zaidi »

Nigeria 0 Morocco 0 ngoma inaenda 120

MOROCCO;- Dakika 90 zimemalizika. Nigeria 0 Morocco 0, zinaongezwa dakika 30 sasa mchezo wa nusu fainali michuano ya Mataifa ya…

Soma Zaidi »

Mapumziko Nigeria 0 Morocco 0

MOROCCO;-NI mapumziko Nigeria 0 Morocco 0 mchezo wa nusu fainali michuano ya Mataifa ya Afrika (Afcon) inayoendelea nchini Morocco.

Soma Zaidi »
Back to top button