City, Madrid wamekutana tena bwana!

DAR ES SALAAM: Ndoa ya Manchester City na Real Madrid imeendelea kudumu kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya droo kuonesha wanakutana tena kwenye hatua ya 16 ya michuano hiyo.

Hatua ya mtoano itaanza Machi 10-11.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button