Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Thomas Partey mengine tena!

HISPANIA: Kiungo wa zamani Arsenal, Thomas Partey, amefunguliwa mashtaka mawili ya ziada ya ubakaji yanayohusiana na madai ya tukio la…

Soma Zaidi Β»

Rais wa CAF awasili Tanzania

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Dk Patrice Motsepe, amewasili nchini asubuhi hi kwa ajili ya Mkutano…

Soma Zaidi Β»

Bella, El Saadat, Twanga Pepeta kukiwasha Valentine Day

DAR ES SALAAM: MASHABIKI wa muziki wa dansi nchini wanatarajia kushuhudia onesho kubwa la kihistoria itakayofanyika jijini Dar es Salaam,…

Soma Zaidi Β»

Tukubali mwaka huu tuliteleza -Ahmed

β€œTukubali kiroho safi kwamba mwaka huu tuliteleza, tukishafungua nafsi maana yake kila Mwanasimba tarehe 14 atakuja uwanjani kiroho safi,” anasema…

Soma Zaidi Β»

Kai Havertz nje wiki tatu

ENGLAND: Mshambuliaji wa Arsenal, Kai Havertz, amepata jeraha la misuli na anatarajiwa kukaa nje ya uwanja kwa kipindi kingine. Mshambuliaji…

Soma Zaidi Β»

Viongozi wapya Chaneta kuweni wabunifu

BARAZA la Michezo la Taifa (BMT) limewataka viongozi wapya wa Chama cha Netiboli Tanzania (CHANETA) kuwa wabunifu ili kukuza vipaji…

Soma Zaidi Β»

Diamond aonesha saa ya Sh1.2 bilioni

MSANII nyota wa muziki wa Bongo Fleva na Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, Diamond Platnumz anajiandaa kuachia wimbo wake mpya…

Soma Zaidi Β»

Msigwa: Serikali haijakosa fedha kumalizia uwanja Arusha

SERIKALI imesema haijakosa fedha kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa Arusha, ikisisitiza kuwa mradi huo unaendelea vizuri na unatarajiwa…

Soma Zaidi Β»

Man Fongo kutetea haki za wanawake watoto

MSANII wa singeli Man Fongo ameweka wazi kuwa anaandaa nyimbo zenye ujumbe maalum wa kutetea haki za Wanawake na Watoto…

Soma Zaidi Β»

Sauti za Busara 2027 kufanyika Machi

TAMASHA la Sauti za Busara linalofanyika kila mwezi Februari kwa mwaka 2027 litafanyika mwezi Machi ili kupisha mfungo wa Mwezi…

Soma Zaidi Β»
Back to top button