Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Taifa Stars wimbo ni ushindi leo

MOROCCO; TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ leo Januari 4, 2026 itashuka Uwanja wa Prince Moulay Abdellah mjini Rabat…

Soma Zaidi »

Dua zote kwa Stars kesho

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imetinga hatua ya 16 bora ya Mashindano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2025)…

Soma Zaidi »

Chelsea yamfuta kazi Maresca

ENGLAND: Klabu ya Chelsea imethibitisha kumfuta kazi kocha mkuu, Enzo Maresca, raia wa Italia. Taarifa ya Chelsea imeeleza kuwa uamuzi…

Soma Zaidi »

Ngajilo aahidi Iringa ya michezo, sanaa, ajira 2026

IRINGA: Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Ngajilo, amefunga mwaka uliopita kwa bonanza lililojaa…

Soma Zaidi »

Vifo vya wasanii vilivyotikisa mwaka 2025

MWAKA 2025 ulianza kwa furaha kwa baadhi ya mastaa wakifunga ndoa, kupata watoto na kushuhudia mafanikio mbalimbali. Hata hivyo, furaha…

Soma Zaidi »

Prof. Jay atimiza miaka 50

MKE wa msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya na mbunge wa zamani wa Mikumi, Joseph Haule ‘Professor Jay’, Grace…

Soma Zaidi »

Dulla Makabila aweka rekodi mpya

MSANII wa muziki wa kizazi kipya na miondoko ya Singeli, Abdallah Ahmed, maarufu kama ‘Dulla Makabila’, amesema ameweka rekodi mpya…

Soma Zaidi »

Ali Kamwe : Nitawarejea tena

OFISA Habari wa Klabu ya Young Africans, Ali Kamwe, amezua mjadala katika mitandao ya kijamii baada ya kuchapisha ujumbe unaogusia…

Soma Zaidi »

Harmonize amvisha pete Kajala

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Rajab Abdul maarufu kama ‘Harmonize’, na mwigizaji Frida Kajala, wamevuta hisia za wadau…

Soma Zaidi »

Tuseme Riyard ndio amegoma kuzeeka?

DAR ES SALAAM: Riyard Mahrez ni kama amegoma kuzeeka hivi, katika maisha ya soka nadra sana ingawa inatokea kumkuta mchezaji…

Soma Zaidi »
Back to top button