Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

City, Madrid wamekutana tena bwana!

DAR ES SALAAM: Ndoa ya Manchester City na Real Madrid imeendelea kudumu kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada…

Soma Zaidi »

Chelsea yapewa PSG Uefa

DAR ES SALAAM: Droo inaonesha PSG wataanza nyumbani dhidi ya Chelsea katika hatua ya 16 ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.…

Soma Zaidi »

Arsenal yapangiwa Leverkusen

DAR ES SALAAM: Arsenal imepangwa kuanza ugenini dhidi ya Bayer Leverkusen katika hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa…

Soma Zaidi »

Dar City yapagwa na vigogo Afrika

DAR ES SAALAM: Hatimaye Basketball Africa League (BAL) imetangaza rasmi makundi mawili yatakayounda hatua ya awali ya msimu wa mwaka…

Soma Zaidi »

Gyokeres ameanza kuwaliza

ENGLAND: Mabao mawili aliyofunga dhidi ya ‘Spurs’ yanamfanya mshambuliaji wa Arsenal, Viktor Gyokeres kuwa wenye mabao mengi kuliko mchezaji yoyote…

Soma Zaidi »

‘Navutiwa na dini ya kiislam’

MSANII wa filamu nchini, Jacqueline Wolper, amezua mjadala mpana mitandaoni baada ya kuweka wazi hisia zake kuhusu dini ya Kiislamu…

Soma Zaidi »

TRA United yapata bodi ya usimamizi

DAR ES SALAAM: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Juma Mwenda leo amezindua Bodi ya Usimamizi wa…

Soma Zaidi »

Mpira unaumiza jamani daah!

ZANZIBAR; MPIRA UNAUMIZA, lakini mpira pia unakera. Pengine ndivyo unavyoweza kuzungumzia matokeo ya mchezo wa mwisho hatua ya makundi Ligi…

Soma Zaidi »

Azam yakwama na pointi tisa

MOROCCO; AZAM imemaliza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa na pointi tisa, lakini imekwama kutinga robo fainali.…

Soma Zaidi »

Yanga inaongoza 1-0 ngoma mapumziko

ZANZIBAR;  NI mapumziko mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi Uwanja wa New Amaan Complex kati ya Yanga…

Soma Zaidi »
Back to top button