Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Ulipo Tupo FC bingwa CRDB Super Cup

ARUSHA: Ubora, mshikamano na kiu ya ushindi ndivyo vilivyoibeba timu ya Ulipo Tupo Lake Zone mpaka kutwaa ubingwa wa soka…

Soma Zaidi Β»

Matuta yaipeleka Morocco fainali

MOROCCO; Morocco imetinga fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon 2025) baada ya kuitoa Nigeria katika mchezo…

Soma Zaidi Β»

Nigeria 0 Morocco 0 ngoma inaenda 120

MOROCCO;- Dakika 90 zimemalizika. Nigeria 0 Morocco 0, zinaongezwa dakika 30 sasa mchezo wa nusu fainali michuano ya Mataifa ya…

Soma Zaidi Β»

Mapumziko Nigeria 0 Morocco 0

MOROCCO;-NI mapumziko Nigeria 0 Morocco 0 mchezo wa nusu fainali michuano ya Mataifa ya Afrika (Afcon) inayoendelea nchini Morocco.

Soma Zaidi Β»

Mane aipeleka Semegal fainali Afcon

MOROCCO;-TIMU ya Taifa ya Senegal, imeichapa Misri bao 1-0 na kutinga fainali katika michuano ya Mataifa ya Afrika (Afcon) inayoendelea…

Soma Zaidi Β»

Simba wamejipanga bwana!

DAR ES SALAAM: KLABU ya Simba SC imerejea rasmi katika uwanja wa mazoezi kuanza maandalizi ya mchezo muhimu wa Ligi…

Soma Zaidi Β»

Okello: Nina furaha kuwa Mwananchi

DAR ES SALAAM: MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga SC, Allan Okello, amesema ana furaha kubwa kujiunga na klabu hiyo huku akisisitiza…

Soma Zaidi Β»

Morocco v Nigeria, Senegal na Misri nusu fainali Afcon

MOROCCO; HATUA ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) mwaka 2025 imekamilika na sasa macho…

Soma Zaidi Β»

Misri yaivua ubingwa Ivory Coast

MOROCCO; MISRI imefuzu nusu fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) mwaka 2025, baada ya usiku huu…

Soma Zaidi Β»

BSS Msimu 16 Kuanza Februari 7

MASHINDANO makubwa ya kusaka vipaji nchini, Bongo Star Search (BSS) Msimu wa 16, yanatarajiwa kuanza rasmi Februari 7 na 8,…

Soma Zaidi Β»
Back to top button